Vituko Afrika Kusini: Wafungwa gerezani waletewa dada wavua nguo (strippers) ili watumbuizwe - picha

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,129
18,741
Kila siku Afrika Kusini hukosi kusikia vituko na mambo ya ajabu. Safari hii maofisa wa gereza fulani huko Afrika Kusini, waliamua kuwatumbuiza wafungwa kwa kuwaletea wale kina dada wanaokata viuno na kuvua nguo (strippers) ili eti wafungwa watumbuizwe.

Nadhani Afrika Kusini imeanza kuona athari za kubadilisha wazungu na kuweka Waafrika hata wasio na sifa kwenye vile vyeo walivyokuwa wakishika wazungu. Kiongozi aliye elimika wa magereza hawezi kufikiria kufanya jambo kama hili. Athari hii inaonekana kuanzia ngazi za juu za uongozi wa nchi hadi chini, na inasemekana inaua taasisi na mashirika mengi nchini humo, watu kupewa vyeo vikubwa bila kuwa na uwezo kwa kuwa tu ni wazalendo.

Kwa wale wanaoelewa hali ya ukame gerezani, nadhani watajua wafungwa waliachwa katika hali gani. Maofisa kadhaa waliohusika na hili wamesimamishwa kazi.

upload_2017-6-27_11-55-11.png
upload_2017-6-27_14-1-50.png

Source: iol
 
Naona uniform zinafana na za Bongo, mtu anaweza rusha picha baadae akasema ukonga hapo.
 
Si ni sehemu ya mateso!?
Ubaya uko wapi?
Wanapaswa kujutia makosa yao.
 
kama ni kweli basi hii itakua ni adhabu kubwa kuliko adhabu yeyote ile humo ndani
 
Kila siku Afrika Kusini hukosi kusikia vituko na mambo ya ajabu. Safari hii maofisa wa gereza fulani huko Afrika Kusini, waliamua kuwatumbuiza wafungwa kwa kuwaletea wale kina dada wanaokata viuno na kuvua nguo (strippers) ili eti wafungwa watumbuizwe.

Nadhani Afrika Kusini imeanza kuona athari za kubadilisha wazungu na kuweka Waafrika hata wasio na sifa kwenye vile vyeo walivyokuwa wakishika wazungu. Kiongozi aliye elimika wa magereza hawezi kufikiria kufanya jambo kama hili. Athari hii inaonekana kuanzia ngazi za juu za uongozi wa nchi hadi chini, na inasemekana inaua taasisi na mashirika mengi nchini humo, watu kupewa vyeo vikubwa bila kuwa na uwezo kwa kuwa tu ni wazalendo.

Kwa wale wanaoelewa hali ya ukame gerezani, nadhani watajua wafungwa waliachwa katika hali gani. Maofisa kadhaa waliohusika na hili wamesimamishwa kazi.

View attachment 531340
Source: iol
Hee
 
Back
Top Bottom