vipi kama hivi pyiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuffffffffffffffff halafu mnuko unafuatia maana ni kwakujikamua kwa maumivu.Hapo lazima ajambe.
Hiviiiiiii..... nini faida ya tattoo???
Hapo lazima ajambe.
Labda urembo...
Waooooooooooo kaka yangu kumbe upo? naona avator mpya!
Urembo wa aina hii hata siutamani
Kuna makabila huweka tatoo mwilini, mathalani Wamakonde.
Nipo ndugu yangu, hiyo avatar nilikua naitumia kitambo kuna dada yangu mmoja hapa JF gfsonwin huipenda sana.