Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,137
- 21,274
Aisee hawa viumbe mungu kajitahidi kuwaumba kwa namna yake, wao wanaamin katika kupewa tu,hawaamin kabisa katika kutoa.
Wao ni wakupokea tu, hata Kama wanapesa, unaweza kuta mwanamke anakazi, mshahara mkubwa tu, ila pesa yake inapoenda haijulikani na bado atataka pesa yako ili aitumie.
Mwanaume upo na mwanamke mwenye kipato na mshahara kabisa ila, mboga, mafuta, kodi, shule watoto, ada, mavazi, usafiri, vyote unagharamia, huku mwenzio akiwa haoin hata aibu, kama unataka ugomvi jaribu kuhoji pesa zake anaweka wapi, utakuwa umewasha moto ambao kuuzima huwezi, ni sawa sawa uanze kuhoji mshahara wa wabunge, utabanguliwa mpaka ujue kuwa hujui.
ifike hatua waelewe kuwa, tupo ulimwengu ambao kila mtu anatamani kupokea, hakuna aliyetayari kutoa, imagine wewe ni mtu wa kutoa tu bila kupokea, lazima psychologically uwe affected.
Nyie mnaopenda kupokea pokea huku kutoa hamuwezi acheni hizo tabia za kinyama, inasikitisha sana
Uzi tayar
Wao ni wakupokea tu, hata Kama wanapesa, unaweza kuta mwanamke anakazi, mshahara mkubwa tu, ila pesa yake inapoenda haijulikani na bado atataka pesa yako ili aitumie.
Mwanaume upo na mwanamke mwenye kipato na mshahara kabisa ila, mboga, mafuta, kodi, shule watoto, ada, mavazi, usafiri, vyote unagharamia, huku mwenzio akiwa haoin hata aibu, kama unataka ugomvi jaribu kuhoji pesa zake anaweka wapi, utakuwa umewasha moto ambao kuuzima huwezi, ni sawa sawa uanze kuhoji mshahara wa wabunge, utabanguliwa mpaka ujue kuwa hujui.
ifike hatua waelewe kuwa, tupo ulimwengu ambao kila mtu anatamani kupokea, hakuna aliyetayari kutoa, imagine wewe ni mtu wa kutoa tu bila kupokea, lazima psychologically uwe affected.
Nyie mnaopenda kupokea pokea huku kutoa hamuwezi acheni hizo tabia za kinyama, inasikitisha sana
Uzi tayar