SoC01 Vitu vinavyo wafanya wanachuo wengi kubadili tabia zao

Stories of Change - 2021 Competition

Joy23

New Member
Sep 20, 2021
4
8
Wanafunzi wengi wanapokwenda chuo, huwa na mitazamo chanya kabisa juu ya maisha yao ya chuo yatakavyokuwa ikiwa ni pamoja na ndoto hadithi za ndugu na jamaaa marafiki waliowahi kuwa wanachuo kabla yao.

Vijana wengi wafikapo vyuoni huwa na adabu na tabia njema, ikiwa ni pamoja na kuhudhuria vipindi, kusoma kwa bidii na pia kumkumbuka Muumba wao. Tatizo linaanza pale atakapo kutana na kuzoeana na watu wengi zaidi, hapo ndipo mambo huanza kubadilika.

Vifuatavyo ni vitu vinavyo wafanya wanachuo wengi kubadili tabia zao ;
1.Marafiki
2.Kuiga
3. Uhuru
4.Tamaa
1.Marafiki

kwa mfano mtu amepata rafiki mzuri mcha Mungu na mwenye bidii katika masomo yake, lazima atapata mafanikio makubwa sana ila akipata rafiki mbaya mwenye tabia mbaya kama ni wa kike amfundishe kujiuza na kila aina ya starehe, hapo lazima maisha ya huyo dada yatakuwa hatarini.

2.Kuiga
Wengi wafikapo chuoni, hutamani na kuanza kuiga maisha ya wengine jambo ambalo linasababisha mtu huyo kutokuwa na imani na kujiamini ndani yake kuanzia mavazi vyakula na kila kitu.

3.Uhuru
Kama tunavyojua chuoni hakuna mtu anaye kushurutisha kufanya jambo.Uhuru huu unafanya wengi wao kupotea na kujikuta wanabafili kabisa mienendo yao.

4.Tamaa
kutamani vitu wasivyokuwa na uwezo navyo, mfano; Iphone na vinginevyo, tamaa hii itampelekea mtu huyu kuchukua maamiz magumu yatakayo ibadili tabia yake kabisa.

MADHARA
Kutokana na marafiki,kuiga,uhuru na tamaa wengi wao hujikuta wanapata madhara makubwa kamavile kutumia madawa ya kulevya, kufeli masomo, kupata virusi vya UKIMWI na vingine vingi.

KIPI KIFANYIKE
Yawapasa wanachuo wote kuwa makini na ndoto zao, na pia kuwa makini wakati wa kuchagua marafiki, kutumia uhuru wao vizuri na pia kuacha tamaa mbaya.
 
Wanafunzi wengi wanapokwenda chuo, huwa na mitazamo chanya kabisa juu ya maisha yao ya chuo yatakavyokuwa ikiwa ni pamoja na ndoto hadithi za ndugu na jamaaa marafiki waliowahi kuwa wanachuo kabla yao.

Vijana wengi wafikapo vyuoni huwa na adabu na tabia njema, ikiwa ni pamoja na kuhudhuria vipindi, kusoma kwa bidii na pia kumkumbuka Muumba wao. Tatizo linaanza pale atakapo kutana na kuzoeana na watu wengi zaidi, hapo ndipo mambo huanza kubadilika.

Vifuatavyo ni vitu vinavyo wafanya wanachuo wengi kubadili tabia zao ;
1.Marafiki
2.Kuiga
3. Uhuru
4.Tamaa
1.Marafiki

kwa mfano mtu amepata rafiki mzuri mcha Mungu na mwenye bidii katika masomo yake, lazima atapata mafanikio makubwa sana ila akipata rafiki mbaya mwenye tabia mbaya kama ni wa kike amfundishe kujiuza na kila aina ya starehe, hapo lazima maisha ya huyo dada yatakuwa hatarini.

2.Kuiga
Wengi wafikapo chuoni, hutamani na kuanza kuiga maisha ya wengine jambo ambalo linasababisha mtu huyo kutokuwa na imani na kujiamini ndani yake kuanzia mavazi vyakula na kila kitu.

3.Uhuru
Kama tunavyojua chuoni hakuna mtu anaye kushurutisha kufanya jambo.Uhuru huu unafanya wengi wao kupotea na kujikuta wanabafili kabisa mienendo yao.

4.Tamaa
kutamani vitu wasivyokuwa na uwezo navyo, mfano; Iphone na vinginevyo, tamaa hii itampelekea mtu huyu kuchukua maamiz magumu yatakayo ibadili tabia yake kabisa.

MADHARA
Kutokana na marafiki,kuiga,uhuru na tamaa wengi wao hujikuta wanapata madhara makubwa kamavile kutumia madawa ya kulevya, kufeli masomo, kupata virusi vya UKIMWI na vingine vingi.

KIPI KIFANYIKE
Yawapasa wanachuo wote kuwa makini na ndoto zao, na pia kuwa makini wakati wa kuchagua marafiki, kutumia uhuru wao vizuri na pia kuacha tamaa mbaya.
Ulichosema Ni kweli kwa asilimia mia moja. Nadhani Ni wajibu wa mtu mwenyewe kujitambua na kujua kilichomleta hapo chuoni.

Karibu Upige kura kwenye Nakala zangu pia 🙏
 
Jamani kooote huko niliko pitia? bado tu eti utishwe na kakimeo ka chuo? tena kenye kikwapa? kwanza fikiria tu...

Shule ya msingi Boarding, Nalitegemea huko, hapo hata zivu sina.....

Haya seco... ivovo!.. likizo ya kwanza form one, nimelala stand week! bila kunywa wala kula! ajili, ya nilikula pesa yote! bila kujua!

Five mpaka six ! huko mpaka nimefanya Biashara za kunijazia kipato! na kaujambazi juu! mbali na hayo nikisaidiwa na ukiranja wa zamu! nimeuza sana chakula, unga na sukari, chumvi tena basi kwa wanafunzi hao hao!

kudojisha mtu aende kucheza Disco mjini, bado ilikuwa ni biashara adimu, labda uwe mnoko kupitiliza ndo utalia lia km wewe ivo! pia nilifanya mengi! acha kabisa! kifupi nilitajirika nikiwa mdogo!! hapo bado Baba hajanitumia zake hela!

Chuo kikuu huko si ndo nimekomaa kabisa, nimeota nywele zoooote! ulizowahi kuzijua tofauti ni majina tu! huko nakula sambamba na Ma DC, RPC, Wabunge nk.... eti ndo nipate huko wa kunipelekesha kivipi? Mweeee! unaumwa wewe!

yaani ulidanganye kabisaaaa! kaka jambazi???!! si unataka kifo!! au unataka kunyonywa macho na utanyonywa kweli.....

hapana aisee!!! hiyo nakataa si kweli? angaliageni wa kudanganya, na pia familia nyongine bana nguvu za giza zinawadatisha sana, huko mliko toka!! chuo kikuu wanona km sijui unaenda mbinguni! usinambie nguvu izo hazipo nikakuzaba vibao bure!

Zee!! zima limesha ota nywele kila mahali eti nidanganywe na kaji-kikundi tu KA Boko haram njaa! thubutuuuu!... na utakuwa kweli umerogwa..... haloow! rudia tena kuandika bana.......acha upuuzi!
 
Back
Top Bottom