Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Chungwa linauzwa sh.100 na Embe linauzwa sh.200.Nimenunua chungwa kwa sh.100.Mkononi mwangu nina chungwa lenye thamani ya sh.100,muuzaji nimemkabidhi sh.100 yangu.Nikimpa chungwa,atakuwa na sh.100 yangu niliyompa mwanzo pamoja na chungwa langu ambavyo thamani yake jumla ni sh.200.Je ninastahili kupewa embe lenye thamani ya sh.200?