Surveyor JA
Member
- Jun 4, 2016
- 72
- 45
BEACON NI NINI?
Haya ni mawe yanayopandwa ardhini kwa lengo la kuonyesha mipaka ya eneo ambalo tayari limeshapimwa.
Kikawaida uwa yanapewa herufi na namba kwa mfano ZEY 215.
NINI INAPASWA UJUE PINDI UIONAPO BEACON
Si kila beacon inayopandwa ardhini imepandwa ikimaanisha eneo husika limepimwa.
Nyingine hazina hiyo maana
Hii utakutana nayo pindi unapotaka kununua ardhi.
NOTE;
HIVO BASI TUSHIRIKISHE WATAALAM KWENYE UNUNUZI WA ARDHI ILI UNUNUE ARDHI SALAMA..
Imeandaliwa na
Surveyor James Aloyce
https://m.facebook.com/goldlandcoltd/
Haya ni mawe yanayopandwa ardhini kwa lengo la kuonyesha mipaka ya eneo ambalo tayari limeshapimwa.
Kikawaida uwa yanapewa herufi na namba kwa mfano ZEY 215.
NINI INAPASWA UJUE PINDI UIONAPO BEACON
Si kila beacon inayopandwa ardhini imepandwa ikimaanisha eneo husika limepimwa.
Nyingine hazina hiyo maana
Hii utakutana nayo pindi unapotaka kununua ardhi.
NOTE;
HIVO BASI TUSHIRIKISHE WATAALAM KWENYE UNUNUZI WA ARDHI ILI UNUNUE ARDHI SALAMA..
Imeandaliwa na
Surveyor James Aloyce
https://m.facebook.com/goldlandcoltd/