Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lukocyte zikiwa 500/HPF hyo Hali hutokea kabisa hapo achome ceftriaxone 1g kwa siku 5 au apige penadul 3 dose kila moja tako moja kwa wiki tatukuna mtu apa nmemsindikiza hospitalini juzi, anatokwa na vitu kama usaha uumeni ila havina ata harufu ya usaha vinatoka taratibu yaani kidogo kidogo, alvoenda hospital dr. alimwambia hana ugonjwa wa ngono ila ana uti kali inawezekana hii,
tatizo litakua ni nini
Kwa sababu UTI inaptikana katika haja kubwa na wanawake Ni rahisi wao wakati wa kunawa watoa nyuma wanaleta mbele na maumbile yao yalivyo rahisi kupatauti kupata mwanaume kwa njia ya mbele ni ngumu sana.amini nakueleza watu wanaopenda kula tigo hili tatizo ni sugu sana kwao.
Hilo ni Gono nenda hata hospital nyingne akapimwe tena jibu litabaki ni Gono hilokuna mtu apa nmemsindikiza hospitalini juzi, anatokwa na vitu kama usaha uumeni ila havina ata harufu ya usaha vinatoka taratibu yaani kidogo kidogo, alvoenda hospital dr. alimwambia hana ugonjwa wa ngono ila ana uti kali inawezekana hii,
tatizo litakua ni nini
Mkuu hilo tatizo tunalo watu wengi humu maana mi mwenyewe naona nahusika sasa ukizungumzia gono kama tunatishana hiviHilo ni Gono nenda hata hospital nyingne akapimwe tena jibu litabaki ni Gono hilo
Sio ishu sana Mkuu kikubwa wahi tu kwa doctor mambo zote ztakaa frsh,narudia wahi mapemaMkuu hilo tatizo tunalo watu wengi humu maana mi mwenyewe naona nahusika sasa ukizungumzia gono kama tunatishana hivi
Chief nenda Hospitali nyengine tena ni vema ukawahi mapema kabla mambo hayajawa mengina nkinywa maji vinakata nkiacha ni kama kawaida