Vitu hivi vinauzwa Mwanza

P. Majaribu

JF-Expert Member
Jun 2, 2014
1,195
621
Vitu hivi vinauzwa kama ifuatavyo;

(Mawasiliano tafadhali tumia namba hii tu 0763-497700 sitakuwa JF ila kwa simu tu tunaweza kuwasiliana)

1. Fridge aina ya Boss. Bei 500,000/=(Laki Tano)

20120101_042538.jpg


20120101_042559.jpg

Sifa zake;
(a) Aina ya Boss
(b) Size ya kati
(c) Ina warranty ya mwaka 1
(d) Rangi ya Silver
(e) Ina stablizer ndani na ni energy server
2. Sub woofer aina ya Arborder-150,000/=(Laki moja na nusu)

Sifa zake: (a) Ina Bluetooth-unaweza kuunganisha na kupiga mziki ulio kwenye Laptop au simu bila waya (b)Ina spika tatu (c)Ina redio hapo hapo (d)LED Screen
20120101_042628.jpg

20120101_042635.jpg


3. Blender aina ya Geepass-80,000/=(Elfu themanini)
20120101_042652.jpg


Sifa zake: (a) Ina components 4(Kila kifaa na kazi yake tofauti)
- Unaweza kusagia matunda
- Kuchujia juice
- Kusagia nyama
- Kusagia vuingo vya mboga

4. Laptop HP 650-Bei 450,000 tu
20120102_023726.jpg

20120102_023749.jpg

20120102_023759.jpg

20120102_023714.jpg


Sifa zake:
- RAM 4GB
- Hard disc 500 GB
- Processor 2.20GHZ core i3

NOTE: Mawasiliano tafadhali tumia namba hii tu 0763-497700 sitakuwa JF ila kwa Kupiga simu tu tunaweza kuwasiliana.
 
Back
Top Bottom