Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,171
- 3,893
Zamani kabla mlima uluguru haijaguswa miti yote...maji yalikuwa yanavutia kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee wa vikaptula vya kaki.
Mi nlitoka 1994 kaka.
Kweli mkuu sema kipingi hicho kaumba haikuwa club..lilikuwa duka tu la kina bro apolinari.
Nimepitia leo morogoro, stend kubwa na ambayo imekamilika kwa 95+ % ni ya singida ukiachia ubugo ambayo ni kongwe na haina sehemu za kuchikingia jua/mvua kwa kiwango kikubwa.Nafikiri itakuwa ni moja ya stand kubwa Nchini Tanzania ikimalizika ata Ubungo itakuwa haiwezi tia Mguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kk walikuacha salama kweli hahaaaaaaaaNimevunja sana miwa pale Kilombero yaani K2
"Ideas are easy but Implementation is hard."
Kuna siku nimetupa chupa ya maji hapo stand, watu wakaniambia kwa usalama wako iokote la sivyo hutatoka getini bila faini ya elfu 50. Sikuwa na jinsi bali kurudi kuokota kibobo changuMsamvu hiyo ni Noma ndani ya Moro town
Ha haa pole. Ukute unaenda yale mabweni karibu na primary. Ni zaidi ya dk 7. Sio nusu saa kweli?siku ya kwanza kufika hapa si nikapitia hili geti kumbe liko mbali na chuo (kuna ki mwendo kama dk 7)
kuja kufahamu kuna kinjia cha mkato pale shule ya adriani nilicheka sana maana kupandisha kimlima si mchezo
moro mji safi sana
Yah mkuu sema zilikuwa zinatupendeza sana,.kwani sasa wamebadilisha uniform?Wazee wa vikaptula vya kaki.
ni takribani miaka 17 sasa tangu wabadilishe ni trouser ya rangi la jani la mgomba mkuuYah mkuu sema zilikuwa zinatupendeza sana,.kwani sasa wamebadilisha uniform?
Kizuka ndo kuna airforce jwtz,Ngerengere,sangasanga ndo unaenda kukutana na 92kj pamoja na 121kjJordan university college, Mzinga corporation Jeshini, nje huku Ngerengere Airforce base, Kizuka, Nane Nane
Ngw'ana Kabula
Haijafika miaka 17 mkuuni takribani miaka 17 sasa tangu wabadilishe ni trouser ya rangi la jani la mgomba mkuu