okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,787
- 2,853
Vitu gani ambavyo huzingatiwa ili ulipie kodi ya ardhi?
Mfano miji mingi ambayo ndo inaanza kukuwa wengi hawajapima viwanja vyao.
Je, mimi binafsi nikitaka kuanza kulipia nahitajika nipitie wapi ili nianze kulipia kiwanja changu ambacho hakina nyumba?
Mfano miji mingi ambayo ndo inaanza kukuwa wengi hawajapima viwanja vyao.
Je, mimi binafsi nikitaka kuanza kulipia nahitajika nipitie wapi ili nianze kulipia kiwanja changu ambacho hakina nyumba?