majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 812
Mh! Haya baba! Kuanzia leo ntaanza kuvaa kisichana mana mavazi yangu miye ni madira c kujizeesha huku?wacha nizifungie sasa!!
angalia, usjekuumbuka na madira yako hayo
Mh! Haya baba! Kuanzia leo ntaanza kuvaa kisichana mana mavazi yangu miye ni madira c kujizeesha huku?wacha nizifungie sasa!!
Mmmh.... Hapo kwenye namba 7 ni soo, make wengine tukitabasamu utadhani tunalia. Any way nitajitahidi hata kwa tabasamu feki!!!!