Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Hebu nidipu, si unajua mambo ya kuwazawadia mabaamedi simu? Namba ni ile ile bana.QUOTE]
Hahahahahaha!!! Khaaaa! Presha ya nini sasa? Mi siyo hubby material?Kaka Kaizer, sisi ni wapendwa katika bwana, usiwe na hofu. Kwanza Asprini angekuwa hubby wangu huyu ningeshakufa kwa pressure
Hahahahahaha!!! Khaaaa! Presha ya nini sasa? Mi siyo hubby material?
Nna wake watatu tu humu ndani cacico, BADILI TABIA na Yummy chini ya uongozi wa Kongosho. Catherine na charminglady nasubiria baraka za wake zangu na kibali cha homiie mwenyekiti KaizerPressure lazima, unao wengi humu.....
Ila kwa sababu tu wapendwa katika bwana, wote nawachukulia kama wapendwa pia ila ukizidisha sana nitamwambia bibi
Nna wake watatu tu humu ndani cacico, BADILI TABIA na Yummy chini ya uongozi wa Kongosho. Catherine na charminglady nasubiria baraka za wake zangu na kibali cha homiie mwenyekiti Kaizer
Kweli chimungulu, hawa wakileta invoice utakimbia, ni mshahara mzima, kesho yuko na mwingineee, kama sio boflooo!!
najua wapi nikufinye, utakuja mwenyewe! lolNimesusa.......
Kweli, we acha tu, na huu mfungo!Kishakujibu? Hebu waambie nazinyonyaje?
yah!umeongeaHao mnaowatafute nyie lazima uwe fisadi ndo uweze ishi nao yaani ni too much DEMANDING
Bastola je? Miguu ya bia sijui, shingo za upanga vipi mkuu au za kizamani?