Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,706
- 4,759
Yap ni mpyaHii ni version mpya?
Yap ni mpyaHii ni version mpya?
Kwenye simu yangu naona imefika 14.6Yap ni mpya
Asante mkuu kwa ushauri wakoHiyo ina network lock mkuu yaani ilifungwa itumike na mtandao mmoja tu mfano kwa marekani wana network kama sprint, At&t, T-mobile na mingineyo. Mfano rahisi ni simu za promotion za Tigo ukiweka laini tofauti na tigo haiwezi kusoma. Hivyo hiyo tablet unapaswa utafute ujue imefungwa na mtandao gani kisha umtafute mtaalam aifungue
Mkuu Infinix nao siku hizi Wana iCloud pamoja na Siri au ndio hii Infinix inayopigiwa Debe kila sehemu sijui hot nine ten?Asante kwa taarifa lakini picha ya kwanza ya simu si iPhone hiyo ni Infinix, ila hizo zinazo fata ndio picha za iPhone
Iphone 12 imekaa vizuriSijawahi kushawishika kununua i phone ila hii 12 imenikamata sana!
Hiyo nayo inayo pigiwa prom ni hovyo tuMkuu Infinix nao siku hizi Wana iCloud pamoja na Siri au ndio hii Infinix inayopigiwa Debe kila sehemu sijui hot nine ten?
Hiyo nayo inayo pigiwa prom ni hovyo tuMkuu Infinix nao siku hizi Wana iCloud pamoja na Siri au ndio hii Infinix inayopigiwa Debe kila sehemu sijui hot nine ten?
Najua Infinix ni simu za kawaida na nilisema vile Kwa utani, lengo ilikuwa ni kushangaa ulipomwambia mleta Uzi kaweka picha ya Infinix na sio iPhone ilihali kila mtu kaona ni picha za iPhoneHiyo nayo inayo pigiwa prom ni hovyo tu
Najua Infinix ni simu za kawaida na nilisema vile Kwa utani, lengo ilikuwa ni kushangaa ulipomwambia mleta Uzi kaweka picha ya Infinix na sio iPhone ilihali kila mtu kaona ni picha za iPhone