Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,324
- 13,634
Mojawapo ya sifa ya mwanaume rijali ni kutongoza.
Kijana ametoa Ofa. Sidhani kama ni kosa bibieHakukanasa makofi kweli..!? Maana ni ukosefu sana wa adabu
Huu mkasa amenisimulia shoga yangu leo hii. Nikaona isiwe tabu na mie nitoe onyo hapa JF.
Huyu shoga yangu tangia alivyosikia kwenye bajeti ya Serikali kuwa mawigi na maurembo mengine yameongezewa kodi, alighadhibika akaamua bora anyoe nywele zake.
Sasa leo akaenda kwenye saluni ya wanaume (baba shopu), anasema baada ya kufika hapo kweli akahudumiwa vizuri, jambo lililomkera ni kale kavulana kalikokuwa kanamnyoa kalipoanzisha sound.
Anasema, kalianza kumuuliza "vipi dada unataka huduma ya scrub mwili mzima?" anasema akamjibu hapana, mie nataka kunyoa tu.
Kavulana kakaendelea, "sasa sikiliza sista, mie nakushauri nunua malighafi zote zinazotakiwa kwa ajili ya scrub mwili mzima, halafu mie nije nyumbani kwako nikufanyie bureee tena free of charge kabisaaa bila gharama yoyote"
Rafiki yangu amekasirika hadi muda huu ninavyotuma huu uzi.
Wito: ENYI WATOTO WAKIUME, WAVULANA, HEBU HANGAIKENI NA SIZE ZENU
iyo 2007 ukiwa form 5 kuna ambao walikuwa ndio darasa la kwanza na sasa wanatumia jf vizuri pia nao wanakuona wa siku nyingi mkuu.Da kuna watu wa siku nyingi umejiunga JF 2007 mi ndio niko form 5 hata mambo ya mitandao sijui
Amekasirika wapi nunueni tu dogo asafanyie kweli maana naona mmekuja kuandika humu ili kusubiri Adimins Approval mm nmeshawaruhusu tearHuu mkasa amenisimulia shoga yangu leo hii. Nikaona isiwe tabu na mie nitoe onyo hapa JF.
Huyu shoga yangu tangia alivyosikia kwenye bajeti ya Serikali kuwa mawigi na maurembo mengine yameongezewa kodi, alighadhibika akaamua bora anyoe nywele zake.
Sasa leo akaenda kwenye saluni ya wanaume (baba shopu), anasema baada ya kufika hapo kweli akahudumiwa vizuri, jambo lililomkera ni kale kavulana kalikokuwa kanamnyoa kalipoanzisha sound.
Anasema, kalianza kumuuliza "vipi dada unataka huduma ya scrub mwili mzima?" anasema akamjibu hapana, mie nataka kunyoa tu.
Kavulana kakaendelea, "sasa sikiliza sista, mie nakushauri nunua malighafi zote zinazotakiwa kwa ajili ya scrub mwili mzima, halafu mie nije nyumbani kwako nikufanyie bureee tena free of charge kabisaaa bila gharama yoyote"
Rafiki yangu amekasirika hadi muda huu ninavyotuma huu uzi.
Wito: ENYI WATOTO WAKIUME, WAVULANA, HEBU HANGAIKENI NA SIZE ZENU
=Jero.Ameenda saluni ya buku jelo , ndio size yake hiyo
Halafu walengwa wa hiyo mada humu hawapo
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😊😊🚶🚶🚶🚶🚶Hakukanasa makofi kweli..!? Maana ni ukosefu sana wa adabu
paleeeee👉👉👉👉👉
Wavulana mnakwama wapi
Unanyanyuka taratiiibu, unamgeukia kwa tabasamu kama unamkubalia vile alafu unamnasa boonge la kofi. Shwain!Hakukanasa makofi kweli..!? Maana ni ukosefu sana wa adabu
Huu mkasa amenisimulia shoga yangu leo hii. Nikaona isiwe tabu na mie nitoe onyo hapa JF.
Huyu shoga yangu tangia alivyosikia kwenye bajeti ya Serikali kuwa mawigi na maurembo mengine yameongezewa kodi, alighadhibika akaamua bora anyoe nywele zake.
Sasa leo akaenda kwenye saluni ya wanaume (baba shopu), anasema baada ya kufika hapo kweli akahudumiwa vizuri, jambo lililomkera ni kale kavulana kalikokuwa kanamnyoa kalipoanzisha sound.
Anasema, kalianza kumuuliza "vipi dada unataka huduma ya scrub mwili mzima?" anasema akamjibu hapana, mie nataka kunyoa tu.
Kavulana kakaendelea, "sasa sikiliza sista, mie nakushauri nunua malighafi zote zinazotakiwa kwa ajili ya scrub mwili mzima, halafu mie nije nyumbani kwako nikufanyie bureee tena free of charge kabisaaa bila gharama yoyote"
Rafiki yangu amekasirika hadi muda huu ninavyotuma huu uzi.
Wito: ENYI WATOTO WAKIUME, WAVULANA, HEBU HANGAIKENI NA SIZE ZENU
Unanyanyuka taratiiibu, unamgeukia kwa tabasamu kama unamkubalia vile alafu unamnasa boonge la kofi. Shwain!
Kijana ametoa Ofa. Sidhani kama ni kosa bibie
Unanyanyuka taratiiibu, unamgeukia kwa tabasamu kama unamkubalia vile alafu unamnasa boonge la kofi. Shwain!
We me/ke?Mno mkuu alafu wana utulivu flani hivi very beautiful