Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 664
Nilishawahi kusikia kwamba inawezekana Rais akachagua mwanaume viti maalum, hebu nijuze zaidi kuhusu hiliDuuu.... Tangu lini viti maalumu vikawa kwa wanaume??
Nilishawahi kusikia kwamba inawezekana Rais akachagua mwanaume viti maalum, hebu nijuze zaidi kuhusu hiliDuuu.... Tangu lini viti maalumu vikawa kwa wanaume??
Wale wa Rais hawaitwi wabunge wa viti maalumu (special seats) wale wanaitwa wabunge wa kuteuliwa (nominated by President).Nilishawahi kusikia kwamba inawezekana Rais akachagua mwanaume viti maalum, hebu nijuze zaidi kuhusu hili
Shhhhh... Mkuu ishia hapohapoWana mchango gani sasa hawa vivuli,kama sio kumaliza hela zetu tu
Dah hapo umenifumbua kituWale wa Rais hawaitwi wabunge wa viti maalumu (special seats) wale wanaitwa wabunge wa kuteuliwa (nominated by President).
Rais hachagui wabunge wa viti maalumu. Rais ana nafasi ya wabunge 10 wanaitwa wabunge wa kuteuliwa na rais. Hao wabunge hapangiwi wawe wa jinsia gani, ila yeye kajiwekea kwamba 5 wawe ni wanaume na 5 wengine wawe wanawake. Na siyo lazima amalize kuzitumia hizo nafasi 10, Marais wengine hawakua wanazimaliza hizo nafasi. Hawa wabunge 10 wa rais hawako katika utaratibu wa viti maalumu. Viti maalumu ni kwa wanawake tu...........Nilishawahi kusikia kwamba inawezekana Rais akachagua mwanaume viti maalum, hebu nijuze zaidi kuhusu hili
94 × 12: Wabunge wa Viti Maalum
1. Maida Hamadi Abdallah
2. Munde Tambwe Abdallah
3. Rose Vicent Busiga
4. Mwantum Dau Haji
5. Agnes Elias Hokororo
6. Dkt. Christine Gabriel Ishengoma
7. Zainabu Athumani Katimba
8. Fakhari Shomari Khamis
9. Mariam Nassoro Kisangi
10. Amina Iddi Mabroud
11. Catherine Valentine Magige
12. Maryprisca Winfred Mahundi
13. Angelina Malembeka
14. Agnes Mathew Marwa
15. Mary Francis Masanja
16. Aysharose Ndoholi Mattembe
17. Lucy Thomas Mayenga
18. Taska Restituta Mbogo
19. Subira Khamis Mgalu
20. Neema William Mgaya
21. Easter Lukago Midimu
22. Jackline Ngonyani Msongozi
23. Bupe Nelson Mwakang'ata
24. Maryam Azan Mwinyi
25. Shally Joseph Raymond
26. Oliver Danieli Semuguruka
27. Juliana Daniel Shonza
28. Fatma Hassan Toufiq
29. Rose Cyprian Tweve
30. Martha Jachi Umbulla
31. Tecla Mohamed Ungele
32. Mwantum Mzamili Zodo
33. Wanu Hafidh Amei
34. Jackline Kainja Andrea
35. Martha Festor Bariki
36. Tauhida Galos Cassian
37. Josephine Thabita Chagula
38. Pindi Azara Chana
39. Ghati Zephania Chomete
40. Suma Ikenda Fyandomo
41. Martha Nehemia Gwau
42. Saada Mansour Hussein
43. Asha Abdallah Juma
44. Dkt. Rita Enespher Kabati
45. Santiel Eric Kirumba
46. Ester Edwin Maleko
47. Janeth Mauris Masaburi
48. Hawa Chakoma Mchafu
49. Minza Simon Mjika
50. Bernadeta Kasabango Mushashu
51. Neema Mwandabila
52. Nora Waziri Mzeru
53. Mariamu Ditopile Mzuzuri
54. Irene Alex Ndyamkama
55. Josephine Genzabuke
56. Mariamu Madalu Nyoka
57. Asya Sharifu Omar
58. Zulfa Mmaka Omary
59. Maimuna Ahmad Pathan
60. Regina Ndege Qwaray
61. Kabula Enock Shitobelo
62. Zaytun Seif Swai
63. Mwanaisha Ulenge
64. Anastazia James Wambura
65. Zuwena Athumani Bushiri
66. Aleksia Asia Kamguna
67. Dkt. Christine Christopher Mnzava
68. Nancy Hassan Nyarusi
69. Husna Juma Sekiboko
70. Amina Daud Hassan
71. Furaha Ntengo Matondo
72. Janeth Elias Mahawanga
73. Stela Alex Ikupa
74. Hadija Shabani Taya
75. Ummy Hamisi Nderiananga
76. Bahati Keneth Ndingo
77. Najma Murtaza Giga
78. Juliana Didas Masaburi
79. Lucy John Sabu
80. Asia Abdukarimu Halamga
81. Judith Salvia Kapinga
82. Ng'wasi Damas Kamani
83. Sylvia Francis Sigula
84. Munira Mustafa Khatibu
85. Latifa Khamis Juakali
86. Amina Bakari Yussuf
87. Amina Ali Mzee
88. Dkt. Paulina Nahato
89. Dkt. Thea Medard Ntara
90. Mwanaidi Ali Khamisi
91. Dkt. Alice Karugi Kaijage
92. Janejelly James Ntate
93. Neema Kijichi Lugangira
94. Khadija Hasani Aboud
Viti maalum vifutwe, hawa wanaenda kumwakilisha nani?Jaman hawa watu ni wengi.
Hii ni hasara hapa ni sawa na shule mpya kama hamsini.
Au ajira za walimu wa primary hata 30000
Mshahara kwa mwezi 94 X 12,000,000 = 1,128,000,000 X 12(mwaka)= 13,536,000,000 X 5(miaka mitano)= 67,680,000,000 + pension (240,000,000 x 94 = 22,560,000,000) = 90,240,000,000 ongesa hela ya gari (94x120,000,000 = 11,280,000,000) jumla kuu 101,520,000,000 hapa ni nje na perdiem, mikopo hazina, posho ya kikao na safari za nje, alafu pumbafu moja linasema mji ajiri.: Wabunge wa Viti Maalum
1. Maida Hamadi Abdallah
2. Munde Tambwe Abdallah
3. Rose Vicent Busiga
4. Mwantum Dau Haji
5. Agnes Elias Hokororo
6. Dkt. Christine Gabriel Ishengoma
7. Zainabu Athumani Katimba
8. Fakhari Shomari Khamis
9. Mariam Nassoro Kisangi
10. Amina Iddi Mabroud
11. Catherine Valentine Magige
12. Maryprisca Winfred Mahundi
13. Angelina Malembeka
14. Agnes Mathew Marwa
15. Mary Francis Masanja
16. Aysharose Ndoholi Mattembe
17. Lucy Thomas Mayenga
18. Taska Restituta Mbogo
19. Subira Khamis Mgalu
20. Neema William Mgaya
21. Easter Lukago Midimu
22. Jackline Ngonyani Msongozi
23. Bupe Nelson Mwakang'ata
24. Maryam Azan Mwinyi
25. Shally Joseph Raymond
26. Oliver Danieli Semuguruka
27. Juliana Daniel Shonza
28. Fatma Hassan Toufiq
29. Rose Cyprian Tweve
30. Martha Jachi Umbulla
31. Tecla Mohamed Ungele
32. Mwantum Mzamili Zodo
33. Wanu Hafidh Amei
34. Jackline Kainja Andrea
35. Martha Festor Bariki
36. Tauhida Galos Cassian
37. Josephine Thabita Chagula
38. Pindi Azara Chana
39. Ghati Zephania Chomete
40. Suma Ikenda Fyandomo
41. Martha Nehemia Gwau
42. Saada Mansour Hussein
43. Asha Abdallah Juma
44. Dkt. Rita Enespher Kabati
45. Santiel Eric Kirumba
46. Ester Edwin Maleko
47. Janeth Mauris Masaburi
48. Hawa Chakoma Mchafu
49. Minza Simon Mjika
50. Bernadeta Kasabango Mushashu
51. Neema Mwandabila
52. Nora Waziri Mzeru
53. Mariamu Ditopile Mzuzuri
54. Irene Alex Ndyamkama
55. Josephine Genzabuke
56. Mariamu Madalu Nyoka
57. Asya Sharifu Omar
58. Zulfa Mmaka Omary
59. Maimuna Ahmad Pathan
60. Regina Ndege Qwaray
61. Kabula Enock Shitobelo
62. Zaytun Seif Swai
63. Mwanaisha Ulenge
64. Anastazia James Wambura
65. Zuwena Athumani Bushiri
66. Aleksia Asia Kamguna
67. Dkt. Christine Christopher Mnzava
68. Nancy Hassan Nyarusi
69. Husna Juma Sekiboko
70. Amina Daud Hassan
71. Furaha Ntengo Matondo
72. Janeth Elias Mahawanga
73. Stela Alex Ikupa
74. Hadija Shabani Taya
75. Ummy Hamisi Nderiananga
76. Bahati Keneth Ndingo
77. Najma Murtaza Giga
78. Juliana Didas Masaburi
79. Lucy John Sabu
80. Asia Abdukarimu Halamga
81. Judith Salvia Kapinga
82. Ng'wasi Damas Kamani
83. Sylvia Francis Sigula
84. Munira Mustafa Khatibu
85. Latifa Khamis Juakali
86. Amina Bakari Yussuf
87. Amina Ali Mzee
88. Dkt. Paulina Nahato
89. Dkt. Thea Medard Ntara
90. Mwanaidi Ali Khamisi
91. Dkt. Alice Karugi Kaijage
92. Janejelly James Ntate
93. Neema Kijichi Lugangira
94. Khadija Hasani Aboud
Dah hapo umenifumbua kituRais hachagui wabunge wa viti maalumu. Rais ana nafasi ya wabunge 10 wanaitwa wabunge wa kuteuliwa na rais. Hao wabunge hapangiwi wawe wa jinsia gani, ila yeye kajiwekea kwamba 5 wawe ni wanaume na 5 wengine wawe wanawake. Na siyo lazima amalize kuzitumia hizo nafasi 10, Marais wengine hawakua wanazimaliza hizo nafasi. Hawa wabunge 10 wa rais hawako katika utaratibu wa viti maalumu. Viti maalumu ni kwa wanawake tu...........