Viti Maalum, CCM - Orodha ya watu 94

Chapeni kazi, lipeni kodi, watu wale na familia zao.


Kila mtu achape kazi ale kwa jasho lake. Wacha niendelee kutafuta impurity ili watoto wapate kwenda msalani.
 
Nilishawahi kusikia kwamba inawezekana Rais akachagua mwanaume viti maalum, hebu nijuze zaidi kuhusu hili
Rais hachagui wabunge wa viti maalumu. Rais ana nafasi ya wabunge 10 wanaitwa wabunge wa kuteuliwa na rais. Hao wabunge hapangiwi wawe wa jinsia gani, ila yeye kajiwekea kwamba 5 wawe ni wanaume na 5 wengine wawe wanawake. Na siyo lazima amalize kuzitumia hizo nafasi 10, Marais wengine hawakua wanazimaliza hizo nafasi. Hawa wabunge 10 wa rais hawako katika utaratibu wa viti maalumu. Viti maalumu ni kwa wanawake tu...........
 
: Wabunge wa Viti Maalum

1. Maida Hamadi Abdallah
2. Munde Tambwe Abdallah
3. Rose Vicent Busiga
4. Mwantum Dau Haji
5. Agnes Elias Hokororo
6. Dkt. Christine Gabriel Ishengoma
7. Zainabu Athumani Katimba
8. Fakhari Shomari Khamis
9. Mariam Nassoro Kisangi
10. Amina Iddi Mabroud
11. Catherine Valentine Magige
12. Maryprisca Winfred Mahundi
13. Angelina Malembeka
14. Agnes Mathew Marwa
15. Mary Francis Masanja
16. Aysharose Ndoholi Mattembe
17. Lucy Thomas Mayenga
18. Taska Restituta Mbogo
19. Subira Khamis Mgalu
20. Neema William Mgaya
21. Easter Lukago Midimu
22. Jackline Ngonyani Msongozi
23. Bupe Nelson Mwakang'ata
24. Maryam Azan Mwinyi
25. Shally Joseph Raymond
26. Oliver Danieli Semuguruka
27. Juliana Daniel Shonza
28. Fatma Hassan Toufiq
29. Rose Cyprian Tweve
30. Martha Jachi Umbulla
31. Tecla Mohamed Ungele
32. Mwantum Mzamili Zodo
33. Wanu Hafidh Amei
34. Jackline Kainja Andrea
35. Martha Festor Bariki
36. Tauhida Galos Cassian
37. Josephine Thabita Chagula
38. Pindi Azara Chana
39. Ghati Zephania Chomete
40. Suma Ikenda Fyandomo
41. Martha Nehemia Gwau
42. Saada Mansour Hussein
43. Asha Abdallah Juma
44. Dkt. Rita Enespher Kabati
45. Santiel Eric Kirumba
46. Ester Edwin Maleko
47. Janeth Mauris Masaburi
48. Hawa Chakoma Mchafu
49. Minza Simon Mjika
50. Bernadeta Kasabango Mushashu
51. Neema Mwandabila
52. Nora Waziri Mzeru
53. Mariamu Ditopile Mzuzuri
54. Irene Alex Ndyamkama
55. Josephine Genzabuke
56. Mariamu Madalu Nyoka
57. Asya Sharifu Omar
58. Zulfa Mmaka Omary
59. Maimuna Ahmad Pathan
60. Regina Ndege Qwaray
61. Kabula Enock Shitobelo
62. Zaytun Seif Swai
63. Mwanaisha Ulenge
64. Anastazia James Wambura
65. Zuwena Athumani Bushiri
66. Aleksia Asia Kamguna
67. Dkt. Christine Christopher Mnzava
68. Nancy Hassan Nyarusi
69. Husna Juma Sekiboko
70. Amina Daud Hassan
71. Furaha Ntengo Matondo
72. Janeth Elias Mahawanga
73. Stela Alex Ikupa
74. Hadija Shabani Taya
75. Ummy Hamisi Nderiananga
76. Bahati Keneth Ndingo
77. Najma Murtaza Giga
78. Juliana Didas Masaburi
79. Lucy John Sabu
80. Asia Abdukarimu Halamga
81. Judith Salvia Kapinga
82. Ng'wasi Damas Kamani
83. Sylvia Francis Sigula
84. Munira Mustafa Khatibu
85. Latifa Khamis Juakali
86. Amina Bakari Yussuf
87. Amina Ali Mzee
88. Dkt. Paulina Nahato
89. Dkt. Thea Medard Ntara
90. Mwanaidi Ali Khamisi
91. Dkt. Alice Karugi Kaijage
92. Janejelly James Ntate
93. Neema Kijichi Lugangira
94. Khadija Hasani Aboud
94 × 12
Ondoa posho
Screenshot_20201111-054256_Calculator.jpg
 
: Wabunge wa Viti Maalum

1. Maida Hamadi Abdallah
2. Munde Tambwe Abdallah
3. Rose Vicent Busiga
4. Mwantum Dau Haji
5. Agnes Elias Hokororo
6. Dkt. Christine Gabriel Ishengoma
7. Zainabu Athumani Katimba
8. Fakhari Shomari Khamis
9. Mariam Nassoro Kisangi
10. Amina Iddi Mabroud
11. Catherine Valentine Magige
12. Maryprisca Winfred Mahundi
13. Angelina Malembeka
14. Agnes Mathew Marwa
15. Mary Francis Masanja
16. Aysharose Ndoholi Mattembe
17. Lucy Thomas Mayenga
18. Taska Restituta Mbogo
19. Subira Khamis Mgalu
20. Neema William Mgaya
21. Easter Lukago Midimu
22. Jackline Ngonyani Msongozi
23. Bupe Nelson Mwakang'ata
24. Maryam Azan Mwinyi
25. Shally Joseph Raymond
26. Oliver Danieli Semuguruka
27. Juliana Daniel Shonza
28. Fatma Hassan Toufiq
29. Rose Cyprian Tweve
30. Martha Jachi Umbulla
31. Tecla Mohamed Ungele
32. Mwantum Mzamili Zodo
33. Wanu Hafidh Amei
34. Jackline Kainja Andrea
35. Martha Festor Bariki
36. Tauhida Galos Cassian
37. Josephine Thabita Chagula
38. Pindi Azara Chana
39. Ghati Zephania Chomete
40. Suma Ikenda Fyandomo
41. Martha Nehemia Gwau
42. Saada Mansour Hussein
43. Asha Abdallah Juma
44. Dkt. Rita Enespher Kabati
45. Santiel Eric Kirumba
46. Ester Edwin Maleko
47. Janeth Mauris Masaburi
48. Hawa Chakoma Mchafu
49. Minza Simon Mjika
50. Bernadeta Kasabango Mushashu
51. Neema Mwandabila
52. Nora Waziri Mzeru
53. Mariamu Ditopile Mzuzuri
54. Irene Alex Ndyamkama
55. Josephine Genzabuke
56. Mariamu Madalu Nyoka
57. Asya Sharifu Omar
58. Zulfa Mmaka Omary
59. Maimuna Ahmad Pathan
60. Regina Ndege Qwaray
61. Kabula Enock Shitobelo
62. Zaytun Seif Swai
63. Mwanaisha Ulenge
64. Anastazia James Wambura
65. Zuwena Athumani Bushiri
66. Aleksia Asia Kamguna
67. Dkt. Christine Christopher Mnzava
68. Nancy Hassan Nyarusi
69. Husna Juma Sekiboko
70. Amina Daud Hassan
71. Furaha Ntengo Matondo
72. Janeth Elias Mahawanga
73. Stela Alex Ikupa
74. Hadija Shabani Taya
75. Ummy Hamisi Nderiananga
76. Bahati Keneth Ndingo
77. Najma Murtaza Giga
78. Juliana Didas Masaburi
79. Lucy John Sabu
80. Asia Abdukarimu Halamga
81. Judith Salvia Kapinga
82. Ng'wasi Damas Kamani
83. Sylvia Francis Sigula
84. Munira Mustafa Khatibu
85. Latifa Khamis Juakali
86. Amina Bakari Yussuf
87. Amina Ali Mzee
88. Dkt. Paulina Nahato
89. Dkt. Thea Medard Ntara
90. Mwanaidi Ali Khamisi
91. Dkt. Alice Karugi Kaijage
92. Janejelly James Ntate
93. Neema Kijichi Lugangira
94. Khadija Hasani Aboud
Mshahara kwa mwezi 94 X 12,000,000 = 1,128,000,000 X 12(mwaka)= 13,536,000,000 X 5(miaka mitano)= 67,680,000,000 + pension (240,000,000 x 94 = 22,560,000,000) = 90,240,000,000 ongesa hela ya gari (94x120,000,000 = 11,280,000,000) jumla kuu 101,520,000,000 hapa ni nje na perdiem, mikopo hazina, posho ya kikao na safari za nje, alafu pumbafu moja linasema mji ajiri.

 
Naona Jina la Kabula lime trend kweli yote ni nini.

Kabula ni mwanamke wa aina yake. Jasiri na mpambanaji alianzia biashara kariakoo ya nguo na viatu mpaka kumiliki nyumba 2 za ghorofa Regent estate mpaka kumiliki hoteli sio Akili ndogo hizi kwa Maisha na hulka zetu za kiswahili.

Anastahili kabisa kubwa mbunge na ataenda kuja kugombea jimboni miaka 10 ijayo . She is a daring character.
 
Na kwavile walitaka haki sawa na wanaume wangefuta huu upuuzi wa viti maalumu ili Wote wapambane majukwaani atakaeshinda battle anaingia mjengoni atakaeshindwa anafanya mambo Mengine.
 
Duh kna mmoja hapo namjua vzr ni mama wa mjini kweli....wiki kama 3 zilizopita alinitwanga bia za kutosha hpo 777 akaniambia anategemea kuwa mbunge lzima ale ndz nyama duh kweli nmeona Jina lake

Ova
 
Rais hachagui wabunge wa viti maalumu. Rais ana nafasi ya wabunge 10 wanaitwa wabunge wa kuteuliwa na rais. Hao wabunge hapangiwi wawe wa jinsia gani, ila yeye kajiwekea kwamba 5 wawe ni wanaume na 5 wengine wawe wanawake. Na siyo lazima amalize kuzitumia hizo nafasi 10, Marais wengine hawakua wanazimaliza hizo nafasi. Hawa wabunge 10 wa rais hawako katika utaratibu wa viti maalumu. Viti maalumu ni kwa wanawake tu...........
Dah hapo umenifumbua kitu
 
Back
Top Bottom