Vitengo hivi vipo Wizara gani? Elimu ya Juu, Utamaduni

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,541
29,604
UTAMADUNI....

Kwani kikwete ametangaza wizara zake kama amekurupuka usingizini due hakuna wizara aliyoipangia kusimamia shughuli za utamaduni na wasanii.
au ndo tumeachwa huria??

last era aliiweka chini ya wizara ya habari na michezo, Mkapa na wenzake waliiweka chini ya wizara ya elimu.
lakini mkwere baada ya kuwatumia bongofleva kumpigia kampeni na kuwaahidi kuwasaidia kila hali ameishia kuwachinjia baharini kwa kutowapangia wizara itakayoshughulikia masuala yao
 
Nampongeza JK kwa muundo wa baraza lake japo kuna sura moja (Sophia)kwa maoni yangu ingeachwa ili iendelee kuwajibika ktk maeneo mengine.

Nimeshindwa kuelewa Elimu ya Juu ipo chini ya wizara gani? msaada wana JF
 
UTAMADUNI....

Kwani kikwete ametangaza wizara zake kama amekurupuka usingizini due hakuna wizara aliyoipangia kusimamia shughuli za utamaduni na wasanii.
au ndo tumeachwa huria??

last era aliiweka chini ya wizara ya habari na michezo, Mkapa na wenzake waliiweka chini ya wizara ya elimu.
lakini mkwere baada ya kuwatumia bongofleva kumpigia kampeni na kuwaahidi kuwasaidia kila hali ameishia kuwachinjia baharini kwa kutowapangia wizara itakayoshughulikia masuala yao
 
"Elimu sio muhimu sana kwa watanzania", nafikiri ndio alicho waambia JK washikaji wake.
"Wakielimika watatusumbua sana hawa, si umeona uchaguzi walivyotutoa jasho?"
"By the way yule mwenye SLAA yuko wapi siku hizi?"
 
Back
Top Bottom