Advocate_Silayo
Member
- Aug 5, 2019
- 62
- 87
Inawezekana kabisa kuwa kashkash zote hizi ambazo Polisi wanawafanyia watu wa vyama vingine mbali na CCM, si maagizo ya Mwenyekiti wa CCM, ila ili tujue kama ni kweli Mwenyekiti hana mkono wa baraka juu ya haya maovu, ni kwanini hatoki hadharani kukemea haya yanayoendelea