Vitamini na madini

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,080
THE PERFECT DRUG.jpg


Ni vibaya ya kwamba kwa sababu ya kukosa fedha watu wengi katika nchi za joto wanateseka

kwa kutokana na njaa. Lakini pia ni vibaya zaidi ya kwamba wanateseka ya kuwa jibu la
kupata matangazo yanayoshawishi kununua vitu vilivyotengenezwa kama kiamsha hamu
(appetizer)juisi ya vitamini nk. Vitu hivi havina faida na sio lazima. Nyama ni rahisi na

inakupa nguvu zaidi kuliko kichupa cha sana-vita-liver extract. Vitamini za kurutubisha za

Emajani yake yana nguvu zaidi kuliko Paradiaso impotexvidonge vyake.
Mama mmoja kutoka kijiji chetu D.R. Kongo alitumia mshahara wake kwa wiki nzima, kwa

ajili ya chupa moja ya sirapu nyekundu iliyotengenezwa bandia, akiamini itamsaidia binti
yake kumwimarisha damu. Mwanamke huyu alikuwa kirahisi mwanakijiji? Hebu tuangalie
kwa karibu katika jiji na Hospitiali za kanisa, hata katika miji mikubwa.Kuna ufujaji katika

bajeti, katika bajeti vitu kama hivyo kama sindano za vitaminivitamini B za vidonge,
vitamini E tortehaemo-vit-orangena vingine vitolewavyo na kupendwa kwa majina.
Watu wahusika wangefanya vizuri zaidi kuweka machungwa na karanga katika mashelfu yao
maduka ya madawa!

a)Vitamini A: Muhimu kwa ajili ya macho na kwa ajili ya utando na ngozi (skin).
Inapatikana katika rangi zote nyekundu na rangi ya manjano, matunda na mboga; Mapapai,

Karoti, Nyanya na Maembe; katika mayai na katika matunda ya mchikichi. Mafuta ya
mchikichi ni tajiri sana katika vitamini A. Huko Afrika ya magharibi, mahali ambako kuna
wingi wa mafuta ya mchikichi, watu wachache wanateseka na upofu. Katika mashariki na

kusini mwa Afrika ambako mafuta ya mchikichi ni haba, tunapendelea kukuza na kula
machungwa, viazi vitamu, kuepuka mahitaji ya vidonge vya vitamini A.

b)Vitamini B komplex: Muhimu kwa ajili ya wale wenye matatizo ya usumbufu wa mishipa
na kudhoofika. Vitamini hizi ni za lazima kwa ajili ya kuyeyusha na kufyonza kabonhaidreti
kama sukari, unga. Vitu vilivyotengenezwa kienyeji vipatikanavyo, kama Karanga,

Maharage
ya soya, Maharage, Nyama, Samaki, Hamira, mboga za majani na mchele makapi au maziwa
ya mama yaliyo na kiasi kikubwa cha vitamini hizi. Ni kosa kubwa , kwa sababu hii kuuza
Karanga ili kununua vitamini Bbiskuti.


c) Vitamini C: Kinga asili ya mfumo wa miili yetu, ambayo inatukingia maambukizo
alimradi vitamini C. Watoto wa umri hadi miezi 6 wanapata ya kutosha maziwa ya mama zao.
Zaidi ya umri huu mmoja ni lazima ale aina zote za matunda (hasa machungwa, matunda ya

karakana na malimao) na mboga za majani (mboga za majani, vitunguu na viazi n.k). Mtunda
yasiyopikwa na mboga ni bora zaidi kwani yakipikwa yanapoteza vitamini C. Tofauti yake na

vitamini A, vitamini C haiwezekani kuhifadhika mwilini, kwa sababu hiyo ni lazima kula
matunda na mboga kila siku.

d) Vitamini D: Inasaidia katika kukua kwa mifupa. Mwili wenyewe unatengeneza kutoka
jua. Mayai na mafuta pia ni chanzo kizuri toka vitamini D.

e) Vitamini E: Inapatikana kutoka majani mabichi na mafuta ya chakula. Utendaji kazi
kiafya bado haueleweki kamili. Katika utangazaji inaitwa vitamini ya uzazi wa watoto
lakini hata hivyo, hakuna mgumba aliyepata watoto na kushukuru vitamin E kimadawa!
 
DR MANDAI.jpg



g) Vitamini K. Inasaidia mambo ya damu kuganda. Inapatikana katika aina zote za
mboga za majani pia hutengenezwa katika viini tumboni. Kuna mila zisizofaa ambazo
hutumiwa na wakunga kwa kuwapa wakina mama waliojifungua sindano za vitamini K
kila mmoja mara baada ya kujifungua. Hii inaidhinishwa tu kama kuna ukosefu wa
vitamini K.

h) Foliki Esidi: Ni muhimu kwa upungufu wa damu. Inapatikana kwa kiasi kikubwa
katika maini na mboga za majani.

i) Kalisiamu: Kalisiamu ina nafasi muhimu kutengeneza chembechembe mwilini kipekee
katika mishipa na mifupa. Kidonge cha Kalisium toka kwenye famasia kina uzito wa
mg 200 za kalisiamu ni kama g 10 za samaki mkavu, g 30 maziwa ya unga, g 100 za
mboga za majani, g 200 maharagwe.

j) Chuma: madini ya chuma husaidia kutengeneza hemoglobini, chembechembe kamili
nyekundu za damu. Kujaribu kutibu upungufu wa damu na wekundu kwa limao ni
bure! Ni vizuri zaidi kula aina zote za mboga za majani. Fanya kila liwezekanalo

kukinga sababu za upungufu wa damu, kama Malaria, kuharisha muda mrefu, na
minyoo. Matumizi ya vikaangio na sufuria za chuma zinapendekezwa-bali sio zile
zinazotengenezwa kienyeji kutoka mabaki ya vyuma vya magari vya zamani, kwani

hivyo vina aina nyingine ya chuma yenye sumu.
Ili kupata utajiri wa vyakula vyenye chuma, kila siku unaweza kuweka vitu vyenye
kutu (lakini safi !) Misumari kwenye sufuria wakati wa kupika. Kwa njia hii kiasi

kidogo cha chuma kinaingia kwenye chakula na hivyo mwili wetu unanyonya kiasi
fulani cha madini ya chuma kwa siku. Au unaweza kuingiza msumari wenye kutu ndani
ya chungwa au limao. Baada ya siku tatu utoe na kula au kamua juisi yake. Juisi

itakuwa imebadilika kuwa madini ya chuma ambayo yana dawa (asili iliyobadilika
katika matunda, madini yaliyo na myeyuko wa madini ya chumvi abayo yameyeyuka
katika matunda

k) Madini ya joto : Katika umbali na mikoani kutoka baharini watu wengi wanapata
Ugonjwa wa Goita kutokana na ukosefu wa madini ya joto, ambayo yanapatikana
kipekee toka mazao ya baharini. Kwa hiyo tunatoa ushauri kununua mg 30 za Ingol
0.1 % kutoka famasi na ongeza matone 1-10 kila siku kwa mtu katika chakula chake.

Mwongozo wa famasia: changanya mg 100 za madini ya chuma pamoja na mg 200 za
potasiumu iodide, na yeyusha mchanganyiko huo katika ml.100 kwenye maji
yaliyochemshwa na kuchujwa. Hifadhi na gawanya katika chombo cha glasi, nasiyo
cha plastiki wala chuma
 
natamani kila mtu mwenye mafua makali apitie huu uzi ausome na aishi kwenye hii njia utaokoa maisha ya watu sana mbeleni na kwa sasa kutengeneza mwili kidogo kidogo

#rRipDrsebi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka kujua zaidi hapo kwenye misumari kuchemsha maji yake upikie chakula, na msumari wenye kutu kuchoma kwenye chungwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom