eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Hii pesa yake huwa inaenda wapi?
kweli kabisa watu tumepigika kumbe watawala wa wanyonge wanapiga tu mahela na kupokonya magari ya watu,vipi kwenye issue za unga za daud kanyau na wewe unazpiga nini?maana mpo bize kusafisha asiyesafishikaUna wivu we dada
kununua ndege au magari ya bashite maana kuna masoko imeacha kitimtimu,ile 500 waliyokuwa wantoa per day ilikuwa ianlipia usafi na ulinzi leo haitolewi tena,hiyo 20,000 hela zake zinapoenda haijulikani,halmashauri zipo hoi hata hela ya mabango walikatazwa kuchukua ingawa mabango yenyewe siku hizi matupu hakuna hata anayetangaza tenaHii pesa yake huwa inaenda wapi?
Haaaaaaende mkoa gani kwa mfano,kigoma au ?
Maccm hayakusoma hesabu hayajui hata za proportionality!Cha ajabu nn sasa....kwani hujui kama population kubwa ya wafanyabiashara+machinga ipo dar??
Simiyu sipafahamu, kama unapafahamu zungumzia wewe.Unauzungumziaje mkoa wa Simiyu ulianzishwa juzi tu?
Heko Bashite, Mkoa wake unaongoza kwa idadi yaya majumba makubwa, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya magari, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya wafanya kazi, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya boda boda, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya barabara zenye lami, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya ofisi za serikali, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya manispaa, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya klabu za michezo, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya watembea kwa miguu, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya makampuni binafsi, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya makao makuu ya mashirika, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya makazi ya mabalozi wa nje, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya wanawake wasio na waume, mkoa wake unaongoza kwa idadi ya mashoga, mkoa wake unaongoza kwa...ningeweza kujaza vitabu mia moja ila naishia hapo.Machadema bwana
Kweli nilikuwa kule miezi mitano iliyopita. Pale stand supu ya kutafuta.Katavi hata wauza matunda tu wanahesabika,
Na biashara ni pale centre karibu na stand na huku sokon pekee
Wangepewa pungufu hata robo ya walichopewa
Unauzungumziaje mkoa wa Tabora?Kwa akili yako ulitaka KATAVI ndio iongoze? Hujui kama Dar ndio chimbuko la wamachinga na asilimia kubwa ya wakazi wa Dar ni wamachinga? Hata hesabu ndogo namna hii mnashindwa kuifanya? Vitambulisho vilivyotolewa jiji la Dar ni vidogo sana kwa kweli, Dar hapakosekani wamamchinga laki tano.
Ili akuache uuze madawa yako ya kulevya kwa uhuru?
Acha upumbuvu nyinyi, kkkt inahusikaje hapo watu gani msiopenda kukosolewa?Habari hii ni mbaya kwa KKKT,wauza ngada na chodomo ikiongozwa na Mbowe
A very smart reply.Cha ajabu nn sasa....kwani hujui kama population kubwa ya wafanyabiashara+machinga ipo dar??
Tabora ni sawa kupata hivyo maana pale wajasiriamali ni wengi na hakuna wafugaji wengi wala mapori, Tabora hivyo vimegawanywa Igunga, Nzega, Tabora mjini, Uyui..Unauzungumziaje mkoa wa Tabora?
BrainlessHabari hii ni mbaya kwa KKKT,wauza ngada na chodomo ikiongozwa na Mbowe
mmeo kajitahidiHali inazidi kuwa mbaya kwa wasiomtakia mema RC Makonda baada ya kazi zake kuzidi kumnyokea na safari hii ameongoza katika makusanyo ya hela ya vitambulisho vya wamachinga.
Wenye roho ya korosho na Makonda mjinyonge tu sasa maana bado yupo yupo sana kwenye nafasi yake.View attachment 1098052