Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Nilikuwa mkoani Songwe, nilikamatwa na Polisi na mgambo ambao wanapita nyumba kwa nyumba wakikagua na kukamata watu wasio na vitambulisho vya Wamachinga.
Kilicho nistaajabisha, je ni halali kodi za biashara kuzidai majumbani?
Askari walinichukua hadi kituoni nilipowaambia Mimi ni mfanyabiashara lakini sina kadi ya wamachinga.
Baadae niliagiza MTU aliyeko ofisini kwangu DSM anitumie Tin, leseni ya biashara, vibali vya TFDA etc ndio nikaachiwa.
Je ni halali kukagua leseni za biashara majumbani?
Kilicho nistaajabisha, je ni halali kodi za biashara kuzidai majumbani?
Askari walinichukua hadi kituoni nilipowaambia Mimi ni mfanyabiashara lakini sina kadi ya wamachinga.
Baadae niliagiza MTU aliyeko ofisini kwangu DSM anitumie Tin, leseni ya biashara, vibali vya TFDA etc ndio nikaachiwa.
Je ni halali kukagua leseni za biashara majumbani?