Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,034
Kuna vitambulisho vya wamachinga vilivyo kuwa vinatolewa kwa gharama ya shilingi 20,000/=, ambavyo vilisemekana ni kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama wamachinga.
Kwa kweli watu ambao wamenufaika na vitambulisho hivi ni wafanya biashara wakubwa kwani waliamua kutoa bidhaa zao ndani kwenye maduka na kuuza barabarani hivyo kukwepa kodi ya serikali, leseni za biashara na pia kodi za mapango.
Sasa mwaka umeanza, je vitatatolewa vingine au watahuisha/renew hivi vitambulisho au ndo vya moja kwa moja?
Je kama watarenew, gharama zitabakia zilezile au zitabadilika?
Kwa kweli watu ambao wamenufaika na vitambulisho hivi ni wafanya biashara wakubwa kwani waliamua kutoa bidhaa zao ndani kwenye maduka na kuuza barabarani hivyo kukwepa kodi ya serikali, leseni za biashara na pia kodi za mapango.
Sasa mwaka umeanza, je vitatatolewa vingine au watahuisha/renew hivi vitambulisho au ndo vya moja kwa moja?
Je kama watarenew, gharama zitabakia zilezile au zitabadilika?