Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,071
- 2,010
Wakuu Swaalamaaah......
Watu wangu wa Arusha nina hii habari/kero kuhusu vitambulisho vya wajasiriamali Arusha!
Nina dogo wangu nimempeleka gereji moja mkoani Arusha akajifunze ufundi wa magari kwa vitendo mimi nipo mkoa mwingine. Sasa juzi kati hivi kanipigia simu eti inatakiwa elfu 20 kwa ajili ya kununua kitambulisho cha wajasiriamali na Polisi wanakuja mpaka gereji kuwakamata kama hauna kitambulisho!
Naomba mnijuze, je, ni kweli sasa hivi vitambulisho hivyo wanauziwa hata wasio wajasiriamali?
(Fundi gereji-mwanafunzi na ujasiriamali wapi na wapi?)
Watu wangu wa Arusha nina hii habari/kero kuhusu vitambulisho vya wajasiriamali Arusha!
Nina dogo wangu nimempeleka gereji moja mkoani Arusha akajifunze ufundi wa magari kwa vitendo mimi nipo mkoa mwingine. Sasa juzi kati hivi kanipigia simu eti inatakiwa elfu 20 kwa ajili ya kununua kitambulisho cha wajasiriamali na Polisi wanakuja mpaka gereji kuwakamata kama hauna kitambulisho!
Naomba mnijuze, je, ni kweli sasa hivi vitambulisho hivyo wanauziwa hata wasio wajasiriamali?
(Fundi gereji-mwanafunzi na ujasiriamali wapi na wapi?)