sokwe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,022
- 1,059
Wakati taifa letu likiendelea na utoaji wa vitambulisho vya taifa, kwann hakuna utaratibu wa watanzania waishio nje kupatiwa vitambulisho hivyo ktk ofisi za balozi za tanzania ktk nchi hizo? Maana nimeongea na ubalozi wetu hapa Tokyo wanasema inabidi kwenda nyumbani kwa mwenyekiti wa mtaa kujaza fomu za maombi!!