mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
kama u nakitabu cha huyu mtu, hakina sif ya kusomwa na mwanfunzi anaehitaji msaad wa kitaaluma,
napendekeza kuchomwa moto na kutupwa mbali watoto wasitumie vitabu kwani imetosha sasa, tangu wataalamu vipofu walipokuwa madarakani waliporuhusu viingie ktk soko.
Hii inafanana sana na baadhi ya huduma za jamii inafaa zifute kwa mfano benki ya The blue, au byport hizi sio taasisi kwani vikumdi vya wezi tu.
Ninashaur zaidi kwamba wataalamu wachunguze sana na sio kusubri kamati za bunge
napendekeza kuchomwa moto na kutupwa mbali watoto wasitumie vitabu kwani imetosha sasa, tangu wataalamu vipofu walipokuwa madarakani waliporuhusu viingie ktk soko.
Hii inafanana sana na baadhi ya huduma za jamii inafaa zifute kwa mfano benki ya The blue, au byport hizi sio taasisi kwani vikumdi vya wezi tu.
Ninashaur zaidi kwamba wataalamu wachunguze sana na sio kusubri kamati za bunge