Syolosu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2019
- 867
- 1,008
Kwamba mwanamke akiwa ndo mzalishaji mkuu ktk mahusiano anastahili kuwa ndo mwenyemamlaka ktk familiaKua haki sawa mi naona ni njia inayotumika kumnyonya mwanaume.
Ipo wazi kwamba wanawake ni wengi kuliko wanaume. Ila wanaoongoza kwa uzalishaji ni wanaume(kiuchumi)
Mbali na kusoma hivi vitabu pia nimekutana na watu walionizidi umri, kitu wanchosema ni kwamba wanawake wanataka kukaa juu ya mwanaume yaani mwanamke anataka awe yeye ndo kichwa awe na mamlaka kuliko mwanaume wakati sio mzalishaji.
Alafu kitu kingine ni kwamba wanawake wanawazungumzia sana wanaume kuliko sisi tunavyowazungumzia wao.