Mkuu kuwa na busara,wenzako huwa hawakatai ushauri hata ukiwa ni wa kijinga.Huo ushauri uliopewa ni mzuri sana,mkuu hapo juu yupo sahihi kabisa unless unaogopa kukosa, "muuzaji nawasiwasi nae,ukiwa na biashara hautakiwi uwe mkali hvo, pia mnunuzi makini lazima awe na full data za anachohitaji, kuwa perfect mkubwa acha hzo za 1947
Noted,apologies refer to the edits above
Mkuu kuwa na busara,wenzako huwa hawakatai ushauri hata ukiwa ni wa kijinga.Huo ushauri uliopewa ni mzuri sana,mkuu hapo juu yupo sahihi kabisa unless unaogopa kukosa wateja sababu unajua kitabu chako hakipo nondo.By the way kuongezea ushauri zaidi,siku hizi wenzako wanakuwa na soft copy pia,unatumia mpesa au tigopesa then unatuma soft copy kwenye email
Kila la kheri
Mkuu wewe unaona usumbufu ila huu ni msaada kwa muuzaji.., hivi unajua kuna vitabu vya ufugaji wa kuku au kilimo vingapi duniani, au unajua ukulima wa mboga upo deep kiasi gani ?, Kwa kuweka kwake kurasa itaonyesha ni deep vipi au summary vipi kitabu chake kilivyo.., Pia huenda mimi ninataka kilimo cha Migagani au Michunga kwenye mboga au kulima kwenye makopo au magunia sasa kwa kuweka kwake contents nitajua ninachokitaka kimo au pengine sijui kwamba sijui kitu fulani kwahio nikiona kwenye contents nitajua kwamba na hiki kipo hence kununua
Tupende kujifunza kwa waliofanikiwa wanavyofanya mambo (angalia kwa wauzaji vitabu kama Amazon) wanaweka contents na image ya kitabu as well as pages, Pia kwa ushauri wa huyu bwana kama anaona kazi kuweka picha kila saa anaweza akatengeneza Blog (which is free anyway) na hapa kuweka link kwamba kwa maelezo zaidi kuhusu kitabu cheki hapa...
Ni ushauri tu wa bure, unaweza kuuchukua au kuacha ila itasaidia sana kwa muuzaji kuuza zaidi (na kuepuka malalamiko kwamba ulichoniuzia sicho) na pia mnunuzi kupata kile anachotaka
NB:Kama wewe siyo mnunuzi acha wenzako wafaidike mlioacha namba zenu ntawapigia simu au pia waweza kunipata kwa 0758303090
Husika na kichwa cha habari kwa anaeitaji kitabu cha ukulima wa vitunguu,mboga zote na matunda na ufugaji wa kuku anaweza kuniPm bei ni Elfu tano tu (5000/=) kwa kimoja na elfu kumi na mbili (12,000/=) Kwa vitatu utakavyochagua.
UFAFANUZI
1.KILIMO CHA MBOGA
Vitunguu,Nyanya,kabichi,karoti,mchicha,pilipili hoho na Madawa ya kudhibiti magonjwa na wadudu waharibifu
2.UFUGAJI BORA WA KUKU
Kuku wa kienyeji na kisasa
3.KILIMO BORA CHA MATUNDA
Michungwa,Miembe,Migomba,Minanasi,Mipapai,Mipesheni na Matikiti maji
4.USINDIKAJI WA MAZIWA
Mtindi,Yoghut,Siagi,Samli,Jibini na Askrim za Maziwa
5.UFUGAJI BORA WA MBUZI
6.NG'OMBE WA MAZIWA
7.NG'OMBE WA NYAMA(fattening)
Karibuni wote
Cc
Kibananhukhu
Neema prosper
KeyserSoze
Chuvachok
Feiaidan
Nikolaevich
Xfactor
KeyceNjou
Jayonepey
The stranger
Maundumula
You are not confident with your product, and you are making it so obvious for all of your customers to see. Tumeomba tu utuambie vitabu vimeandikwa na nani na vimeandikwa wapi, unaleta majibu ya bungeniNB:Kama wewe siyo mnunuzi acha wenzako wafaidike mlioacha namba zenu ntawapigia simu au pia waweza kunipata kwa 0758303090
You are not confident with your product, and you are making it so obvious for all of your customers to see. Tumeomba tu utuambie vitabu vimeandikwa na nani na vimeandikwa wapi, unaleta majibu ya bungeni
I hope hilo sio swali as i see the question mark hapo mwisho wa sentence, anyways lets drop this.Nenda kalale wanaitaji vitabu ni wengi,so mind your business!?