Vita yetu tangu uhuru vya kupambana na maadui ujinga, maradhi na umasikini tunasonga mbele ama tumezingirwa?

Ntozi

JF-Expert Member
Feb 1, 2021
226
299
Ukitembelea vituo mbalimbali vya kutolea huduma za afya nchini utakutana na mambo makubwa mawili. Kwanza ni mlundikano wa wagonjwa,na pili ni uhaba wa madawa na vifaa tiba.

Zaidi ya robo tatu ya hao wagonjwa, ni Yale yanayozuilika. Hapo ni hakuna elimu yoyote ya maana ambayo ingesaidia kupunguza hayo maambukizi mbalimbali. Kuhusu umasikini hali ni mbaya kupita maelezo. Maneno yanayotolewa na wachache wanaotafuna keki ya nchi, ni kufarijiana tu, lakini maisha ya watu walio wengi mijini na vijijini ni duni sana.Watu wanajituma ana kufanya kazi walizonazo, lakini hakuna dalili za kuwakimbiza hawa maadui.

Watu wanahangaika tu na namna watakavyopata uongozi wa juu,lakini hawana agenda ya jinsi ya kuwashinda hawa maadui watatu

Kama tumelaaniwa,basi tufunge na kuomba ili tuondokane na hii laana. Tunahitaji task force. Tuwachukue viongozi wachache kutoka tuwa tuwachanganye na wengine wachache kutoka vyama vya upinzani waongoze nchi.Lakini CCM peke yao ni ngumu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ukitembelea vituo mbalimbali vya kutolea huduma za afya nchini utakutana na mambo makubwa mawili. Kwanza ni mlundikano wa wagonjwa,na pili ni uhaba wa madawa na vifaa tiba.

Zaidi ya robo tatu ya hao wagonjwa, ni Yale yanayozuilika. Hapo ni hakuna elimu yoyote ya maana ambayo ingesaidia kupunguza hayo maambukizi mbalimbali. Kuhusu umasikini hali ni mbaya kupita maelezo. Maneno yanayotolewa na wachache wanaotafuna keki ya nchi, ni kufarijiana tu, lakini maisha ya watu walio wengi mijini na vijijini ni duni sana.Watu wanajituma sana kufanya kazi walizonazo, lakini hakuna dalili za kuwakimbiza hawa maadui.

Watu wanahangaika tu na namna watakavyopata uongozi wa juu,lakini hawana agenda ya jinsi ya kuwashinda hawa maadui watatu

Kama tumelaaniwa,basi tufunge na kuomba ili tuondokane na hii laana. Tunahitaji task force. Tuwachukue viongozi wachache kutoka CCM, tuwachanganye na wengine wachache kutoka vyama vya upinzani waongoze nchi.Lakini CCM peke yao ni ngumu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app



Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ukitembelea vituo mbalimbali vya kutolea huduma za afya nchini utakutana na mambo makubwa mawili. Kwanza ni mlundikano wa wagonjwa,na pili ni uhaba wa madawa na vifaa tiba.

Zaidi ya robo tatu ya hao wagonjwa, ni Yale yanayozuilika. Hapo ni hakuna elimu yoyote ya maana ambayo ingesaidia kupunguza hayo maambukizi mbalimbali. Kuhusu umasikini hali ni mbaya kupita maelezo. Maneno yanayotolewa na wachache wanaotafuna keki ya nchi, ni kufarijiana tu, lakini maisha ya watu walio wengi mijini na vijijini ni duni sana.Watu wanajituma ana kufanya kazi walizonazo, lakini hakuna dalili za kuwakimbiza hawa maadui.

Watu wanahangaika tu na namna watakavyopata uongozi wa juu,lakini hawana agenda ya jinsi ya kuwashinda hawa maadui watatu

Kama tumelaaniwa,basi tufunge na kuomba ili tuondokane na hii laana. Tunahitaji task force. Tuwachukue viongozi wachache kutoka tuwa tuwachanganye na wengine wachache kutoka vyama vya upinzani waongoze nchi.Lakini CCM peke yao ni ngumu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Tuwe na katiba mpya, nafasi ya makamo wa Rais awe anashika mtu alishika no 2 kwenye kura
 
Tunapumua kwa tabu, baada ya msaada wa moja kwa moja unaotolewa na mabeberu
 
Tutoe kafara kwa miungu kiongozi mmoja..tuombe utakaso...kisha tuwe na katiba mpya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom