LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 530
- Wacha wafu wazikane weinjanyewe kwa wenyewe, sisi CCM mwendo ni nginja nginja!!
Le Mutuz!!
Mkuu hata wewe unaamini hizi propaganda?
- Wacha wafu wazikane weinjanyewe kwa wenyewe, sisi CCM mwendo ni nginja nginja!!
Le Mutuz!!
- Wacha wafu wazikane weinjanyewe kwa wenyewe, sisi CCM mwendo ni nginja nginja!!
Le Mutuz!!
- hapo anayefaaa ni zitto tu wengine wote wamepitwa na wakati, wote wamegombea na kushindwa, enufff!!
Le mutuz!!
KUNDI LA PILI NI LA DR, SLAA ambaye licha ya kutokea kaskazini amekuwa haungwi mkono kabisa ndani ya chama na hata kwa wakaskazini wenzake.
Licha ya mchango wa slaa kuwa mkubwa kutokana na kushika nafasi ya pili kwenye uchaguzi mkuu uliomalizika mwaka 2010, Slaa anaonekana kuwa si chochote ndani ya chama na anaungwa mkono na kanisa la katoliki ambalo amewahi kulitumikia akiwa kama padri kabla hajaasi.
Mkuu TM, niliposoma tuu, swali la kwanza nilijiuliza "the motive behind" hiyo story, nikakuta "the motive" is ZZK elevetion by elimination ya Mbowe na Dr. Slaa, na kwa vile mbowe sio highly probable, then ili kummaliza Dr, jamaa ameweka character assasination the same way mwanzisha thread aliwahi kuzileta humu!.Cha mwisho, ni namna mwanzisha thread alivyoweza kupata soft copy ya gazeti ambalo haliko mtandaoni, kwa maana ya kwamba hawana website. Niliangalia kile kinachoonekana kuwa blog yao, posts za mwisho ni mwezi Februari mwaka huu. Sasa mwanzisha mada kawezaje kupata soft copy mapema namna hiyo, anajua yeye. Natumaini GT hapa JF wataunganisha dots na kuelewa ninachosema katikati ya maneno. Ukielewa msaidie na mwenzako kuelewa. Kazi njema mleta mada.
Unajidhalilisha tu Le mutuzi. sikutegemea kabisa kauli kama hii uitoe wewe. Kama kila anayegombea na kushindwa basi amepitwa na wakati, wewe umegombea mara ngapi unashindwa na bado unaendelea kugombea na kwingine na kwingine? Kingángánizi wa madaraka kama wewe hukupaswa kabisa kusema haya.- hapo anayefaaa ni zitto tu wengine wote wamepitwa na wakati, wote wamegombea na kushindwa, enufff!!
Le mutuz!!
ccm inasubiri nguvu za kofia na kanga 2015,hata kama mtatumia magazeti ya mafisadi ccm haitaachwa salama 2015, tunataka mabadiliko!
Nina uhakika kabisa kama CHADEMA wangemjua TUNTEMEKE ni nani lazima angeshakuwa alitupiwa mbali siku nyingi. Maana hata kingekuwa ni chama vumilivu kiasi gani hakiwezi kukaa na huyu nyoka ndani. Tuntemeke anatumia udini na ukabila kuwagawa wanachadema na watanzania kwa ujumla kwa maslahi yake binafsi?Mkuu TM, niliposoma tuu, swali la kwanza nilijiuliza "the motive behind" hiyo story, nikakuta "the motive" is ZZK elevetion by elimination ya Mbowe na Dr. Slaa, na kwa vile mbowe sio highly probable, then ili kummaliza Dr, jamaa ameweka character assasination the same way mwanzisha thread aliwahi kuzileta humu!.
Hivyo source ya hiyo story ni mwanzisha thread, tena kama ni mwandishi, anaweza kuwa ni yeye ndie ali file hiyo story ndio maana akabaki na soft!.
Niliwahi kuwaeleza CDM, mnafuga nyoka wenye sumu kali, dawa ya nyoka hawa ni kuwa ponda kuanzia kjichwani...vinginevyo...!.
P.
Walishapotea kwenye ramani ya kisiasa kitambo baada ya kuishiwa hoja, maana kila hoja waliyokuwa wanaipigia kelele haifanikiwi, mfano mafisadi na mpaka leo hakuna aliyefungwa. Kwa ufupi Chadema inasubiri kizikwa rasmi 2015.
Unajidhalilisha tu Le mutuzi. sikutegemea kabisa kauli kama hii uitoe wewe. Kama kila anayegombea na kushindwa basi amepitwa na wakati, wewe umegombea mara ngapi unashindwa na bado unaendelea kugombea na kwingine na kwingine? Kingángánizi wa madaraka kama wewe hukupaswa kabisa kusema haya.
Na zaidi ya yote, ukisema Mbowe na Slaa wamepitwa na wakati, unataka kusema kwa CCM; Mangula, Kinana, Zhakia Meghij na Migiro ndiyo wa kisasa? Ndiyo yale yale akijisaidia kuku sawa, lakini bata akijisaidia hivyohivyo mnasema ameharisha! Acheni ujinga nyie CCM na uroho wenu wa madaraka unaowapelekea mueneze udini na ukabila ilimradi tu muendelee kutawala bila kujua kwamba mnaiweka amani ya nchi rehani.
Unajidhalilisha tu Le mutuzi. sikutegemea kabisa kauli kama hii uitoe wewe. Kama kila anayegombea na kushindwa basi amepitwa na wakati, wewe umegombea mara ngapi unashindwa na bado unaendelea kugombea na kwingine na kwingine? Kingángánizi wa madaraka kama wewe hukupaswa kabisa kusema haya.
Na zaidi ya yote, ukisema Mbowe na Slaa wamepitwa na wakati, unataka kusema kwa CCM; Mangula, Kinana, Zhakia Meghij na Migiro ndiyo wa kisasa? Ndiyo yale yale akijisaidia kuku sawa, lakini bata akijisaidia hivyohivyo mnasema ameharisha! Acheni ujinga nyie CCM na uroho wenu wa madaraka unaowapelekea mueneze udini na ukabila ilimradi tu muendelee kutawala bila kujua kwamba mnaiweka amani ya nchi rehani.
I see, kumbe Chadema wapo wanaofaa kuwa Rais wa nchi hii!! hili nilikuwa silijui.- hapo anayefaaa ni zitto tu wengine wote wamepitwa na wakati, wote wamegombea na kushindwa, enufff!!
Le mutuz!!
ukweli umeanza kujulikania wapi mkuu au nyumbani kwa wajumbe wa NEC (jakaya,salma&riz) a.k.a chama cha familia<br />By ungonella wa ukweli<br />
ccm inasubiri nguvu za kofia na kanga 2015,hata kama mtatumia magazeti ya mafisadi ccm haitaachwa salama 2015, tunataka mabadiliko!
<br />
CCM haifi na haitakufa kamwe kwa kupitia maandishi ya JF. Ukweli wa nani hasa anakufa umeshaanza kujulikana na utathibitika pale 2015.
Chadema ina vijana waliobobea kwenye IT yani wanashindwa kumjuwa TUNTEMEKE ni nani? kama upo karibu na Uongozi waambie wanitangazie dau niwauzie kichwa. This is a deal.Nina uhakika kabisa kama CHADEMA wangemjua TUNTEMEKE ni nani lazima angeshakuwa alitupiwa mbali siku nyingi. Maana hata kingekuwa ni chama vumilivu kiasi gani hakiwezi kukaa na huyu nyoka ndani. Tuntemeke anatumia udini na ukabila kuwagawa wanachadema na watanzania kwa ujumla kwa maslahi yake binafsi?
51 years old Man, Tanzania hatuna Clinic za kutibu watu wenye stress za maisha, at this age unakaa kwa Baba ni lazima akili yako iwe na matatizo, tafuta watu wa conseling watakusaidia.- Sijaona hoja zaidi ya mtumzima kulia lia kama mtoto mdogo, nimesema Mbowe na Slaa wameshagombea Urais wameshindwa, mimi sijagombea Urais mmezoea sana kurusha matusi bila kujibiwa sasa mchezo umekwisha mtajibiwa tu!
- Narudia tena waliogombea Urais wakashindwa huko Chadema hawana jipya, na hasa huyu Slaaa aliyeshindwa Udiwani majuzi hana jipya aachie damu mpya kina Zitto!!
so now talk to me!
Le Mutuz!!
- Sijaona hoja zaidi ya mtumzima kulia lia kama mtoto mdogo, nimesema Mbowe na Slaa wameshagombea Urais wameshindwa, mimi sijagombea Urais mmezoea sana kurusha matusi bila kujibiwa sasa mchezo umekwisha mtajibiwa tu!
- Narudia tena waliogombea Urais wakashindwa huko Chadema hawana jipya, na hasa huyu Slaaa aliyeshindwa Udiwani majuzi hana jipya aachie damu mpya kina Zitto!!
so now talk to me!
Le Mutuz!!