ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
Tanzania bado tuna kazi nzito kidemokrasia, vyombo vya mafisadi vya habari kazi yake ni kugonganisha maneno au habari kwa upinzani! Ccm hata kama watawagawa watanzania kwa ukanda,udini na ukabila ili waendelee kuwatawala, Sisi WATU WA KUSINI HATUTAKUBALI KUENDELEA KUTUMIWA NA CCM, ili kuwapa njia ya kufaidi kifisadi raslimali za taifa letu.
Hapa hakuna cha ukaskazini wala magharibi adui wa watanzania ni ccm! Ccm isubiri 2015, watu wa KUSINI TUNATAKA TUONYESHE MFANO KWA KUIADHIBU CCM kwenye majimbo hadi urais! Ccm ni janga kwa taifa letu!
Hapa hakuna cha ukaskazini wala magharibi adui wa watanzania ni ccm! Ccm isubiri 2015, watu wa KUSINI TUNATAKA TUONYESHE MFANO KWA KUIADHIBU CCM kwenye majimbo hadi urais! Ccm ni janga kwa taifa letu!