1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 6,255
- 7,931
Zinatokaje kwenye viwanda vya Jeshi Urusi na kuzagaa Kwa Waasi Dunia nzima??Kwa taarifa tu AK 47 no dola 6 Afghanstan. Hata huku kama tusingekuwa tunaamin silaha ya kurogana kila mtu aweza kuwa nayo
Ni sawa na risasi Kwa kutoka ghala la Jeshi zizagae Huko mitaani halafu walaumiwe Mabeberu.