CHIPESI NAMISUKU
Member
- Oct 7, 2019
- 51
- 156
Uchaguzi wa chama cha demokrasia na maendeleo unaoendelea mpaka sasa tumeanza kushuhudi uminywaji wa demokrasia, ukabila na ukanda vimeshika kasi kubwa.
Kwa wazoefu wa uchaguzi ndani ya chama hicho wameeleza wazi kuwa ndani ya chama kumekuwa na ngazi za uongozi zimeonekana kuwa ni za baadhi ya watu na mtu mwingine akijaribu kuziwania nafasi hizo hukumbana na vita vikali.
Wameeleza zaidi kuwa ngazi kama nafasi ya mwenyekiti wa chama taifa nafsi hii imenasibishwa kuwa ni ya mtukufu Freeman Mbowe tangu akabidhiwe chama kama Mwenyekiti na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mzee Mtei 1992.
Kiti hiki kimetengenezewa mazingira ya Mhe. Mbowe kukikalia kila awamu ya muhula miaka 5 kama ilivyo sasa kumetengenezwa makundi ya kuweza kuwa fifisha wenye nia na kiti hicho.
Tumeona wanaojiita Bavicha kuchanga fedha za fomu za kumchukulia Mbowe fomu na wanazunguka nchi nzima kuwashawishi wanachama kusaini kama hatua ya kuunga mchakato wa Mh. Mbowe kuendelea na uongozi mbali na hilo pia kumetengenezwa kundi ambalo huwaa attack wanachama wanaoonyesha nia ya kukitaka kiti hicho.
Ambapo wengi hutengenezewa mizengwe kwa kuitwa wasaliti, kutengenezewa nakuwafukuza uanachama.
Licha ya nafasi ya uenyekit taifa pia zipo nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho zinzonekana ni za watu fulani na wengine hawastahili kuomba kugombea.
Mfano uenyekiti wa Kanda ya Kaskazini anagombea Godbless Lema pia Komu ameonyesha nia ya kuutaka uenyekiti na tayari ameshaanza kupewa majina ya usaliti na kuitwa alishanunuliwa na CCM hii ni mbinu tu za kumtaka na kufifisha jitihada zake.
Hivyo katka uchaguzi huu demokrasia inaonekana kuimbwa nje na kwenye majukwaa na si kuitendea katika chama.
Mbali na Komu yupo pia Mbunge wa Jimbo la Ubungo Kubenea ni miongoni mwa wanachama wanaoitwa wasaliti kwa sasa kisa wanapinga kinachoendelea ndani ya chama Mh Msigwa amewasema na kuwaonya.
Kwa wazoefu wa uchaguzi ndani ya chama hicho wameeleza wazi kuwa ndani ya chama kumekuwa na ngazi za uongozi zimeonekana kuwa ni za baadhi ya watu na mtu mwingine akijaribu kuziwania nafasi hizo hukumbana na vita vikali.
Wameeleza zaidi kuwa ngazi kama nafasi ya mwenyekiti wa chama taifa nafsi hii imenasibishwa kuwa ni ya mtukufu Freeman Mbowe tangu akabidhiwe chama kama Mwenyekiti na aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mzee Mtei 1992.
Kiti hiki kimetengenezewa mazingira ya Mhe. Mbowe kukikalia kila awamu ya muhula miaka 5 kama ilivyo sasa kumetengenezwa makundi ya kuweza kuwa fifisha wenye nia na kiti hicho.
Tumeona wanaojiita Bavicha kuchanga fedha za fomu za kumchukulia Mbowe fomu na wanazunguka nchi nzima kuwashawishi wanachama kusaini kama hatua ya kuunga mchakato wa Mh. Mbowe kuendelea na uongozi mbali na hilo pia kumetengenezwa kundi ambalo huwaa attack wanachama wanaoonyesha nia ya kukitaka kiti hicho.
Ambapo wengi hutengenezewa mizengwe kwa kuitwa wasaliti, kutengenezewa nakuwafukuza uanachama.
Licha ya nafasi ya uenyekit taifa pia zipo nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho zinzonekana ni za watu fulani na wengine hawastahili kuomba kugombea.
Mfano uenyekiti wa Kanda ya Kaskazini anagombea Godbless Lema pia Komu ameonyesha nia ya kuutaka uenyekiti na tayari ameshaanza kupewa majina ya usaliti na kuitwa alishanunuliwa na CCM hii ni mbinu tu za kumtaka na kufifisha jitihada zake.
Hivyo katka uchaguzi huu demokrasia inaonekana kuimbwa nje na kwenye majukwaa na si kuitendea katika chama.
Mbali na Komu yupo pia Mbunge wa Jimbo la Ubungo Kubenea ni miongoni mwa wanachama wanaoitwa wasaliti kwa sasa kisa wanapinga kinachoendelea ndani ya chama Mh Msigwa amewasema na kuwaonya.