Vita ya UCHUMI ni ngumu sana.mheshimiwa rais usikate tamaa

D Metakelfin

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
3,160
3,259
Wakuu jamvini
Hivi hawa wazungu tumewakosea nini mpaka wanataka kutuhujumu?
Au ni jitihada za rais Wetu mpendwa John pombe Magufuli kuinua uchumi wa taïfa letu ndio wanataka ionekane kana kwamba hafanyi kazi.
Najua watafikia mpaka kutaka kutuwekea vikwazo ila tutapambana
Kiukweli namuomba mheshimiwa rais aendelee kupiga kazi ili hii mijitu yenye wivu na nchi yetu izidi kuumia roho ila ipo siku watakukubali.
Najua hata humu jamvini kuna watu wanajua wazi kuwa kazi anayoifanya mheshimiwa rais ni kubwa na ngumu sana ila hawataki tu kukubali.
Mheshimiwa rais vita ya kiuchumi ni ngumu sana tupo nyuma yako usikate tamaa endeleza mapambano ukae ukijua wengi wanakukubali japo hawajioneshi
NB:pIA NAOMBA NIKUKUMBUSHE KITU NJE YA MADA KUWA JOB NDUGAI VIATU ANAVYOVAA NI VIKUBWA SANA HAVIMTOSHI.
 
ngoja waje wajuzi wa mambo ,ila hongera kwa mtukufu rais tunyooshe
 
Lori lipo mita chache sana kutumbukia korongoni..

Ndio madhara ya yeye kukubali KUSUKUMIZIWA HUKO..

Hakuna dalili za hali nzuri kabisa.
 
Ivi unaelewa maana ya vita ya uchumi? Vita vya uchumi ukitaka kuvijua waangalie russia, iran na wengineo ambao wanakabiliwa na sanctions kila siku!! Tz hatuna vita vya uchumi...

Haya yoote yanatokana na ukurupukaji wa KUFULI, kuliko kumtia moyo mshauri aache kukurupuka na kutafuta cheap popularity!!

Nakuhakikishia tukiingia kwenye vita vya kiuchumi kwa nchi ya ulimwengu wa tatu kama yetu hatutavusha hata mwezi....
 
Wakuu jamvini
Hivi hawa wazungu tumewakosea nini mpaka wanataka kutuhujumu?
Au ni jitihada za rais Wetu mpendwa John pombe Magufuli kuinua uchumi wa taïfa letu ndio wanataka ionekane kana kwamba hafanyi kazi.
Kiukweli namuomba mheshimiwa rais aendelee kupiga kazi ili hii mijitu yenye wivu na nchi yetu izidi kuumia roho ila ipo siku watakukubali.
Najua hata humu jamvini kuna watu wanajua wazi kuwa kazi anayoifanya mheshimiwa rais ni kubwa na ngumu sana ila hawataki tu kukubali.
Mheshimiwa rais vita ya kiuchumi ni ngumu sana tupo nyuma yako usikate tamaa endeleza mapambano ukae ukijua wengi wanakukubali japo hawajioneshi
NB:pIA NAOMBA NIKUKUMBUSHE KITU NJE YA MADA KUWA JOB NDUGAI VIATU ANAVYOVAA NI VIKUBWA SANA HAVIMTOSHI.
Hii vita ya uchumi hiko wapi front line yake !!?? Kimara ubomoaji .veti feki,wafanyakazi hewa ,habari za uchochezii au daraja la wenda kwa miguu furahisha mwanza etiii wewe mleta mada. Unaweza tuelewesha au ni umekurupukaa kwakuwa neno uliokuta ni vita ya uchumi .wapi haswa pambano la vita lipo !!???
Uchumi ulikuwa unaenda vizuri tu kabla hajachukua usukani, hakukuwa na haja ya kuanzisha vita wakati amani ilikuwepo. Tutaendelea kusema anatupeleka pabaya.
 
Vita ya kiuchumi wakati kila siku unaomba hela ya kusaidiwa miradi sasa hapo unapigana na nani.

Nchi yenyewe mkwara kidogo tu kutoka kwa wazungu jamaa wameona isiwe tabu embu waiteni waje waponde mbele ya raisi ata wiki aijaisha tangia wazungu watoe onyo.

Chezea mzungu
 
Vita ya kiuchumi wakati kila siku unaomba hela ya kusaidiwa miradi sasa hapo unapigana na nani.

Nchi yenyewe mkwara kidogo tu kutoka kwa wazungu jamaa wameona isiwe tabu embu waiteni waje waponde mbele ya raisi ata wiki aijaisha tangia wazungu watoe onyo.

Chezea mzungu

yamekua haya tena.

Mbowe bado yuko ndani lakini,au humjui mbowe.
 
Uchumi ulikuwa unaenda vizuri tu kabla hajachukua usukani, hakukuwa na haja ya kuanzisha vita wakati amani ilikuwepo. Tutaendelea kusema anatupeleka pabaya.
unaoneka umezaliwa baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 na hujajua wenzako walivyokuwa wanamkejeli JK
 
Wakuu jamvini
Hivi hawa wazungu tumewakosea nini mpaka wanataka kutuhujumu?
Au ni jitihada za rais Wetu mpendwa John pombe Magufuli kuinua uchumi wa taïfa letu ndio wanataka ionekane kana kwamba hafanyi kazi.
Najua watafikia mpaka kutaka kutuwekea vikwazo ila tutapambana
Kiukweli namuomba mheshimiwa rais aendelee kupiga kazi ili hii mijitu yenye wivu na nchi yetu izidi kuumia roho ila ipo siku watakukubali.
Najua hata humu jamvini kuna watu wanajua wazi kuwa kazi anayoifanya mheshimiwa rais ni kubwa na ngumu sana ila hawataki tu kukubali.
Mheshimiwa rais vita ya kiuchumi ni ngumu sana tupo nyuma yako usikate tamaa endeleza mapambano ukae ukijua wengi wanakukubali japo hawajioneshi
NB:pIA NAOMBA NIKUKUMBUSHE KITU NJE YA MADA KUWA JOB NDUGAI VIATU ANAVYOVAA NI VIKUBWA SANA HAVIMTOSHI.
Upuuzi mtupu!

Ni uchumi gani ambao tunaujenga sisi zaidi ya Ghana, nchi inayoongoza kwa ukuaji wa uchumi Duniani?

Ninuchumi gani tunaoujenga sisi zaidi ya Botswana au Namibia, nchi ambazo zimefanikiwa kuondoka kwenye kundi la nchi maskini?

Tusitafute visingizio. Sababu za kufuatiliwa zinajulikana - ni uongozi wa kidikteta. Tufuate katiba yetu, tutii mikataba ya kimataifa tuliyoridhia, hakuna atakayehangaika nasi. Huwezi ukawa unaua watu, unateka, unapoteza, unafunga wanaokukosoa, unafungia vyombo vya habari, unazuia bunge kuoneshwa ila uonekane wewe tu, halafu Dunia ikae kimya.

JUMUIYA YA KIMATAIFA TUNAIPONGEZA KWA KUSIMAMA NA WANAOONEWA. HAKUNA ALIYE BINADAMU KULIKO MWINGINE.

Damu za waliouawa ziendelee kumlilia Mungu, wanaonyanyaswa na wanaoonewa waendelee kumlilia Mungu. Daima Mungu hujibu kwa namna ifaayo na kwa wakati ufaao.
 
Back
Top Bottom