Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Mkuu Ludewa, uadilifu wa Mhe. Pindi Chana, ni wa integrity unauona machoni with naked eyes, hauhitaji ushahidi wowote kumdhibitisha ni mgawaji!. Kuna watu huku wanaamini kila mwanamke mzuri wa level ya Pindi Chana ambaye ana madaraka, lazima atakuwa kayapata kwa kubebwa!. No wanawake wengine ni shoka na wamefika hapo walipofika kwa kujibeba wenyewe!.unataka ushahidi wa kuwa pindi ni mgawaji? au unataka kumtetea tu?
Ila pia wajameni tusijisahau sana, tukumbuke pia kuwa Mungu yupo!. Kumsingizia uchafu a born again Christian sio tuu ni kosa kimaadili, bali pia ni dhambi!.
Amini nawaambieni malipo ni hapa hapa duniani, jiepushe usihukumu ukaja kuhukumiwa!. Inaweza kujikuta unaandamwa na mabalaa hujui chanzo, kumbe ndio "pay back" ya kuwasingizia mabaya wengine!.
Mwenye masikio na asikie!.
Pasco.