Vita ya Ubunge CCM 2015 yaanza; Pindi Chana adaiwa kumvaa Filikunjombe

unataka ushahidi wa kuwa pindi ni mgawaji? au unataka kumtetea tu?
Mkuu Ludewa, uadilifu wa Mhe. Pindi Chana, ni wa integrity unauona machoni with naked eyes, hauhitaji ushahidi wowote kumdhibitisha ni mgawaji!. Kuna watu huku wanaamini kila mwanamke mzuri wa level ya Pindi Chana ambaye ana madaraka, lazima atakuwa kayapata kwa kubebwa!. No wanawake wengine ni shoka na wamefika hapo walipofika kwa kujibeba wenyewe!.

Ila pia wajameni tusijisahau sana, tukumbuke pia kuwa Mungu yupo!. Kumsingizia uchafu a born again Christian sio tuu ni kosa kimaadili, bali pia ni dhambi!.

Amini nawaambieni malipo ni hapa hapa duniani, jiepushe usihukumu ukaja kuhukumiwa!. Inaweza kujikuta unaandamwa na mabalaa hujui chanzo, kumbe ndio "pay back" ya kuwasingizia mabaya wengine!.

Mwenye masikio na asikie!.
Pasco.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mkuu Concrete, my opinion its the other way round!.
  1. Kwa uzuri wa kutizamika, huyu mama amejaaliwa kila idara, kuanzia rangi, nywele, umbo, shape, leggyline, macho, etc,etc, hivyo angekuwa ni mtu wa kujiachia, wazee wangeshakula fadhila na kumuingiza cabinet zamani, haswa ukizingatia udhaifu wa ile top layer yetu!.
  2. Zaidi ya uzuri, huyu mama ni holder wa LL.B na LL.M, hivyo ni msomi wa hali ya juu na ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba. Kwa sifa hizo, angekuwa anatoa, angesha paishwa zamani!.
  3. Kuna watu nawafahamu, hawana hata nusu ya uwezo wake, wako juu kwa sababu wametoa!, naamini kuna wazee wanaomba, wananyimwa na ili kumkomoa ndio maana amebaki hapo hapo alipo!.
  4. Kama unajicho zuri la kutazama, wabunge waachiaji utawajua juu kwa macho, na wale ombao ni "women of substance" and "integrity", utawajua tuu, huyu mama ni "of sustance na integrity"!.
  5. Mimi nimeshakaa nae mahali for dinner, qualifications zake sio paper, but she is ok upstairs, na ndio maana kaamua kama kukwaa ulaji ni mpaka mtu ujirahisi, then tu hell with uwaziri, na ndio amebaki alivyo!
Pasco.

You are wrong brother..her area commisioner husband knows also that you are wrong. Anyway utakua umepitiwa na ule usemi "kitu usichokijua ni sawa na usiku wa giza"
 
Kwani mgobea wa CDM hayupo katika jimbo hilo mpaka hawa wapange mikakati ya kutoana ngeu hivo?!

Huwa wanachelewa sana kutabua kuwa CCM haina tena ile probability ya kushinda,kwa hiyo bado wataimbiana mipasho hadi watakapofika ktk mziki wa CDM halafu wanaanza kilio ,wanaanza kuwaomba polisi na wakuu wa wilaya wafanye kazi ya ziada.
 
Mkuu Concrete, my opinion its the other way round!.
  1. Kwa uzuri wa kutizamika, huyu mama amejaaliwa kila idara, kuanzia rangi, nywele, umbo, shape, leggyline, macho, etc,etc, hivyo angekuwa ni mtu wa kujiachia, wazee wangeshakula fadhila na kumuingiza cabinet zamani, haswa ukizingatia udhaifu wa ile top layer yetu!.
  2. Zaidi ya uzuri, huyu mama ni holder wa LL.B na LL.M, hivyo ni msomi wa hali ya juu na ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba. Kwa sifa hizo, angekuwa anatoa, angesha paishwa zamani!.
  3. Kuna watu nawafahamu, hawana hata nusu ya uwezo wake, wako juu kwa sababu wametoa!, naamini kuna wazee wanaomba, wananyimwa na ili kumkomoa ndio maana amebaki hapo hapo alipo!.
  4. Kama unajicho zuri la kutazama, wabunge waachiaji utawajua juu kwa macho, na wale ombao ni "women of substance" and "integrity", utawajua tuu, huyu mama ni "of sustance na integrity"!.
  5. Mimi nimeshakaa nae mahali for dinner, qualifications zake sio paper, but she is ok upstairs, na ndio maana kaamua kama kukwaa ulaji ni mpaka mtu ujirahisi, then tu hell with uwaziri, na ndio amebaki alivyo!
Pasco.

Duh..pasco unavyotoa sifa ni wazi yupo katik fikra na hisia zako.Hw come unamfagilia hivyo?Na hako ka dinner kalikuzengua haswa ukabaki kukagua mpaka etc...sijui kama upsatir ulipaona sana kihivyo kwa muda mfupi na jinsi hisia zilivyozidi akili.

Ila jua kitu kimoja. Hakuna demu anakwenda dinnner kachukiza?kama una mpango wa kumwacha demu mwache ktk lunch.katika dinner wanajipara,wanavaa kwa kujiachia,wanapiga mchuchumio, wanakuwa wapo tayari kwa mengi kisaikolojia, na zile "Putty" wazipigazo zinakuwa complimented na taa hafifu.Usijikute ulikuwa mazingira hayo..?Sishangaihayo bongo kwani ,wapiga debe,vijana poa wapo wengi sana kwa ajili ya akina mama na mara nyingine ni madereza wa kipindi cha privacy

Kiufupi unathibitisha unachokikataa.Au ndio wivu akili haitakia kubali kuna mwingine?
 
Nimefuatilia siasa za Ludewa, Bi Pindi chana ni Mbunge viti maalum kwa vipindi viwili kama sijakosea na anatoka Iringa Mjini. Alilipenda jimbo la Ludewa wakati wa Prof. Raphael Mwalyosi ana Aliwahi kuwa na Makubaliano na Prof kuwa, Yeye Pindi chana ndiye atakayemrithi baada ya miaka 10.

Kwa makubaliano hayo, Bi. Pindi aliacha kugombea Ubunge awamu iliyopita ili Amwachie Prof na yeye amalize vipindi viwili viti maalum.

Pindi chana alifanya kosa kudhani Ubunge ni wa watu Fulani. Deo, aliibuka kwa mara ya pili ili kugombea na akaweza kumdondosha Prof Kwa kazi kubwa sana. Kundi la Prof Lilihamaki na kutaharuki na kuamua kuhamia kwa Pindi, na sasa bado linagawika kwani kuna vijana wameamua kumuunga mkono deo.

Si vibaya Pindi kuonesha nia ya kulitaka jimbo la Ludewa na Kumvua Ubunge Deo Filikunjombe, Mie ninachokiona tatizo litakuwa uamuzi wa kupambana na Fili Ambaye kazi zake zimemfanya hata majimbo mengine yamuombe akagombee kwao na vyama vingine vya siasa kumhusudu.

Ningelimshauri Pindi atafakari tena, Naona kama deo ana uwezo mkubwa na Jimbo analimudu sijui Pindi atakuwa na sababu zipi za kumtaka deo amuachie kijiti. Nadhani Pindi kumtoa deo ni sawa na kuhamisha milima ya Livingstone kuipeleka malawi, kama ana sababu nzuri basi itamuwia rahisi. Nawatakia kila la kheri.
 
ni bi pindi chana, rafiki wa beatrice shelukindo wapendwa (walokole) pindi ni mbunge viti maalumu, na mwenyekiti wa kamati ya katiba na sheria lowassa camp huku mjengoni tunamjua sana
 
Amini nawaambieni malipo ni hapa hapa duniani, jiepushe usihukumu ukaja kuhukumiwa!. Inaweza kujikuta unaandamwa na mabalaa hujui chanzo, kumbe ndio "pay back" ya kuwasingizia mabaya wengine!.

Mwenye masikio na asikie!.

Pasco.

..............
 
Pindi Chana upinzani wake na Filikunjombe ulikua mkali sana ..tofauti pindi alikuwa chaguo la watawala Hadi kupewa ujumbe wa cc wakati mwenzake aliwekeza kwa watu na walikuwa tayari kumchagua akiwa chama chochote
 
Nilisoma comment moja hapo juu jamaa mmoja kasema pindi chana ana "mtaji" wa maana, nikasema ngoja nikamgoogle na mimi nijionee huo "mtaji", nikakutana na hii:
ImageUploadedByJamiiForums1445036166.227957.jpg
 
Mkuu Concrete, my opinion its the other way round!.
  1. Kwa uzuri wa kutizamika, huyu mama amejaaliwa kila idara, kuanzia rangi, nywele, umbo, shape, leggyline, macho, etc,etc, hivyo angekuwa ni mtu wa kujiachia, wazee wangeshakula fadhila na kumuingiza cabinet zamani, haswa ukizingatia udhaifu wa ile top layer yetu!.
  2. Zaidi ya uzuri, huyu mama ni holder wa LL.B na LL.M, hivyo ni msomi wa hali ya juu na ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba. Kwa sifa hizo, angekuwa anatoa, angesha paishwa zamani!.
  3. Kuna watu nawafahamu, hawana hata nusu ya uwezo wake, wako juu kwa sababu wametoa!, naamini kuna wazee wanaomba, wananyimwa na ili kumkomoa ndio maana amebaki hapo hapo alipo!.
  4. Kama unajicho zuri la kutazama, wabunge waachiaji utawajua juu kwa macho, na wale ombao ni "women of substance" and "integrity", utawajua tuu, huyu mama ni "of sustance na integrity"!.
  5. Mimi nimeshakaa nae mahali for dinner, qualifications zake sio paper, but she is ok upstairs, na ndio maana kaamua kama kukwaa ulaji ni mpaka mtu ujirahisi, then tu hell with uwaziri, na ndio amebaki alivyo!
Pasco.
Sasa hivi ikoje Kiongozi wangu???!!
 
Mkuu Concrete, my opinion its the other way round!.
  1. Kwa uzuri wa kutizamika, huyu mama amejaaliwa kila idara, kuanzia rangi, nywele, umbo, shape, leggyline, macho, etc,etc, hivyo angekuwa ni mtu wa kujiachia, wazee wangeshakula fadhila na kumuingiza cabinet zamani, haswa ukizingatia udhaifu wa ile top layer yetu!.
  2. Zaidi ya uzuri, huyu mama ni holder wa LL.B na LL.M, hivyo ni msomi wa hali ya juu na ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba. Kwa sifa hizo, angekuwa anatoa, angesha paishwa zamani!.
  3. Kuna watu nawafahamu, hawana hata nusu ya uwezo wake, wako juu kwa sababu wametoa!, naamini kuna wazee wanaomba, wananyimwa na ili kumkomoa ndio maana amebaki hapo hapo alipo!.
  4. Kama unajicho zuri la kutazama, wabunge waachiaji utawajua juu kwa macho, na wale ombao ni "women of substance" and "integrity", utawajua tuu, huyu mama ni "of sustance na integrity"!.
  5. Mimi nimeshakaa nae mahali for dinner, qualifications zake sio paper, but she is ok upstairs, na ndio maana kaamua kama kukwaa ulaji ni mpaka mtu ujirahisi, then tu hell with uwaziri, na ndio amebaki alivyo!
Pasco.

Pana tuhuma nzito dhidi wa wenye vyeo
 
Back
Top Bottom