Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,023
- 18,566
Vita kati ya serikali ya Syria ya Assad na waasi wa serikali imezidi kuchukua sura mpya na kuanza kuenea duniani kama vita kati ya Waislamu wa Suni na Shia baada ya nchi za mlengo wa kiislamu kuaza kuunga mokno pande zinazopigana kama ifuatavyo;
Majeshi ya serikali ya Assad - Shia; Syria, Hezbollah (Lebanon), Iran
Majeshi ya waasi Syria - Suni; Turkey, Saudi Arabia na Qatar
Wananchi wa Kuwait wamekuwa wakiandamana kulaani Lebanon na kuonyesha kuunga mkono waasi wa Syria, kukiwa na habari kwamba Misri, Jordan na Iraq hawako mbali na kutaka kuwasaidia majeshi ya uasi.
Ikumbukwe kwama wakati Urusi inaelekea kumuunga mkono Assad, Marekani na Mataifa ya Ulaya wana lengo la kuyasaidia majeshi ya Uasi Syria
Source: Reuters
Majeshi ya serikali ya Assad - Shia; Syria, Hezbollah (Lebanon), Iran
Majeshi ya waasi Syria - Suni; Turkey, Saudi Arabia na Qatar
Wananchi wa Kuwait wamekuwa wakiandamana kulaani Lebanon na kuonyesha kuunga mkono waasi wa Syria, kukiwa na habari kwamba Misri, Jordan na Iraq hawako mbali na kutaka kuwasaidia majeshi ya uasi.
Ikumbukwe kwama wakati Urusi inaelekea kumuunga mkono Assad, Marekani na Mataifa ya Ulaya wana lengo la kuyasaidia majeshi ya Uasi Syria
Source: Reuters