smartboy in tz
New Member
- Sep 21, 2011
- 1
- 0
Ni lini viongozi wa tanzania watagundua tuna vita kubwa ya siasa dhidi ya uchumi, jukwaa la siasa limekuwa likichukua sehemu kubwa ya fikra na vingozi kuwekeza kwenye siasa, na kuacha uchumi ukiendelea kudorora na kufanya maisha ya watanzania halisi kuwa magumu, nchi imekosa kipaumbele zidi ya siasa, kitu gani tufanye wana jf kubadilisha dira hii potofu.