Zapa RadioFm
Senior Member
- Feb 12, 2016
- 112
- 171
Itoshe tu kusema hivi..
Ufisadi na Rushwa havitaisha katika Halmashauri zetu hadi pale wawakilishi hawa wa wananchi ( madiwani) wataboreshewa maslahi yao, walau yawe nusu ya posho na mshahara wa mbunge.
Ufanisi hautakuwepo katika maeneo yatu hadi pale utaratibu wakuwawezesha madiwani hao kufanya shughuli zao zakuwaletea wananchi maendeleo.
Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na Makatibu Tawala wanakula "bata" huku kazi wanazofanya nyingi zikiwa za "kisiasa" (sisizo na tija) ukilinganisha na Wenyeviti/Mameya wa halmashauri za majijk, miji na wilaya wanaofanya kazi zenye tija za wananchi.
Mwisho:
"DC au RC hatapata heshima kwakutumia mwanya mbovu wa katiba wakumweka Kiongozi mwenzake ndani masaa 48 bila kosa lolote la msingi, badala yake hao ma-DC au ma-RC watadharaulika na kuwa chukizo mbele za wananchi"
Ufisadi na Rushwa havitaisha katika Halmashauri zetu hadi pale wawakilishi hawa wa wananchi ( madiwani) wataboreshewa maslahi yao, walau yawe nusu ya posho na mshahara wa mbunge.
Ufanisi hautakuwepo katika maeneo yatu hadi pale utaratibu wakuwawezesha madiwani hao kufanya shughuli zao zakuwaletea wananchi maendeleo.
Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi na Makatibu Tawala wanakula "bata" huku kazi wanazofanya nyingi zikiwa za "kisiasa" (sisizo na tija) ukilinganisha na Wenyeviti/Mameya wa halmashauri za majijk, miji na wilaya wanaofanya kazi zenye tija za wananchi.
Mwisho:
"DC au RC hatapata heshima kwakutumia mwanya mbovu wa katiba wakumweka Kiongozi mwenzake ndani masaa 48 bila kosa lolote la msingi, badala yake hao ma-DC au ma-RC watadharaulika na kuwa chukizo mbele za wananchi"