johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,847
- 141,769
Inadaiwa kuwepo na chimba chimba ya chinichini ndani ya Chadema ikiwahusisha wagombea watarajiwa wa nafasi ya Rais wa JMT.
Mzee Sumaye, Lazaro Nyalandu, Tundu Lisu na Freeman Mbowe wanatajwa kutaka kuwania nafasi hiyo.
Source: Tanzania Daima!
Mzee Sumaye, Lazaro Nyalandu, Tundu Lisu na Freeman Mbowe wanatajwa kutaka kuwania nafasi hiyo.
Source: Tanzania Daima!