Vita ya maneno sasa ni rasmi kati ya Uganda na Jumuiya ta Ulaya.

Omary Ndama

JF-Expert Member
Apr 16, 2017
3,367
4,056
VITA YA MANENO SASA NI RASMI KATI YA UGANDA NA JUMUHIYA YA ULAYA.

Muda mfupi uliyopita msemaji wa serikali ya Uganda Ophono Opondo amemaliza mkutano na waandishi wa habari. Ktk mkutano huo Ophono ameishambulia EU kwa kuingilia uhuhuru wa Uganda. Baadhi ya maneno yake ni kama:-

-Hatufundishwi na EU jinsi kutawala nchi yetu

-Tunajua hasira zao zinatokana na sisi kukataa mapenzi ya jinsia moja

-Kama kuna wabunge na mawaziri wa EU ni mashoga watetee ushoga wao bila kuingilia uhuru wetu

-Mataifa ya magharibi yameangusha serikali za Libya, Tunisia, Misri na Iraki na huko kwa sasa hakutawaliki. Na ndicho wanataka kwetu.

-Ni dharau kwa mataifa ya magharibi kufikia hatua ya kuzitaka mahakama zetu kufuta mashitaka mtu fulani waliye na masilahi naye. Ni kuingilia uhuru wetu na mahakama zetu

Hivi karibuni jumuhiya ya Ulaya kupitia bunge lake wamepitisha azimio kuitaka serikali ya Uganda kumfutia mashitaka Bob Wine na viongozi wengine wa upinzani vinginevyo wataangalia uhusiano na nchi hiyo ikiwa ni pamoja na misaada inayotolewa kwa Uganda....
 
VITA YA MANENO SASA NI RASMI KATI YA UGANDA NA JUMUHIYA YA ULAYA.

Muda mfupi uliyopita msemaji wa serikali ya Uganda Ophono Opondo amemaliza mkutano na waandishi wa habari. Ktk mkutano huo Ophono ameishambulia EU kwa kuingilia uhuhuru wa Uganda. Baadhi ya maneno yake ni kama:-

-Hatufundishwi na EU jinsi kutawala nchi yetu

-Tunajua hasira zao zinatokana na sisi kukataa mapenzi ya jinsia moja

-Kama kuna wabunge na mawaziri wa EU ni mashoga watetee ushoga wao bila kuingilia uhuru wetu

-Mataifa ya magharibi yameangusha serikali za Libya, Tunisia, Misri na Iraki na huko kwa sasa hakutawaliki. Na ndicho wanataka kwetu.

-Ni dharau kwa mataifa ya magharibi kufikia hatua ya kuzitaka mahakama zetu kufuta mashitaka mtu fulani waliye na masilahi naye. Ni kuingilia uhuru wetu na mahakama zetu

Hivi karibuni jumuhiya ya Ulaya kupitia bunge lake wamepitisha azimio kuitaka serikali ya Uganda kumfutia mashitaka Bob Wine na viongozi wengine wa upinzani vinginevyo wataangalia uhusiano na nchi hiyo ikiwa ni pamoja na misaada inayotolewa kwa Uganda....
Stupid msemaji issue ni je wanachokilalamikia kilitokea? Was bobi Wine tortured? Is there basic human rights violation?
 
Asubiri waje hao UE, tuone kama huyo Ophono Opondo atasema hayo maneno tena.

Sadam Hussein alisema zaidi ya hayo maneno, na alikua na jeuri sawa sawa kufikia hatua alimchapa marekani (Wakati Rais George Bush Senior) kwenye vita vya kwanza vya Gulf.

Vita Vya Gulf (2 August 1990 – 28 February 1991), ikipewa jina la Code Name "Operation Desert Shield" (mnamo tarehe 2 August 1990 mpaka tarehe 17 January 1991).

Lakini leo yuko wapi Saddam Hussein?
 
Namuona Museveni akifika mwisho kuitawala Uganda ndani ya siku chache zijazo, nawaona wanaojiita watetezi wa wanyonge na wapenda amani the so called NATO wakiingia kazini.

Hii ni ndoto nimeoteshwa.
 
Usiseme matusi/maneno mabaya kwa mtu ambaye unajua humuwezi kwa chochote kile yani kiuchumi,kifikra,kijamii,kisiasa ......never fight the battle you realize you will lose....
 
Back
Top Bottom