Unajua hii vita naweza sema kaisababisha mama mwenyewe tukirudi kwenye historia ya hizo mali zake hazikuwa zake zilikuwa za kanisa la TAG wakati yeye akiwa mchungaji huko hizo shule zilikuwa chini ya usimamizi wa TAG na kanisa lilimuamini kama msimamizi na kulikuwa na makunaliano na shule,na kanisa lkn alichokuja kukifanya huyo mama ni utapeli mkubwa alinadili kanisa kuwa mali yake na usimamizinwa shule fungu likawa.linaenda kwake vita ilikuwa kubwa kanisa likaaamua kuachana nae tu kwamba Bwana aamue mwenyewe hyo kesi ona sasa wazungu wanasema unachokifanya kiwe kizuri au kibaya unajifanyia mwenyewe tu kwa hyo hiyo vita ya watoto kasababisha mama mwenyewe.
Mama ameanza kumiliki shule kabla ya kuwa mchungaji.
Maana shule ni za zamani sana. 90s kati kati st marys zilianzishwa