sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,000
Wakuu salaam.
Kuanzia awamu ya5 yaserikali yetu neno vita yakiuchumi limekuwa likitajwa Sana naviongozi wetu wajuu serikalini.
Kwa nilivyowaelewa wanamaanisha kuwa mtu,kikundi,taasisi ama nchi yoyte inayopinga mipango ya maendeleo kwa nchi yetu,hawa watakua wapiganaji wa hii vita ya kiuchumi.
Sasa Mimi huko serikalini napaacha Kama palivyo.
Hii 'Vita ya kiuchumi' katika ngazi nilizotaja kwenye kichwa Cha mada nimbaya na inatafuna zaidi kuliko hii ya serikali na nchi kwa ujumla. Kwanini?
Vita hii inahusisha ndugu,marafiki na kila unayemuamini katika mzunguko wako wamaisha.
Mbinu zitumikazo hapa ni majungu,unafiki na ikibidi uchawi.Lengo la yote niwewe uanguke ili either mfanane kimaisha au wao wawe juu yako.
Ugumu wakupambana na Vita hii katika ngazi tajwa nikwamba wapiganaji(maadui),hawataki uwafahamu hivyo wanakuchekea, wanakushauri na wakati mwingine wanakusaidia pale unalowahitaji Ila mioyoni wamebeba agenda ya kukuangusha.
Wakuu, Hawa watu ni wabaya na Mara nyingi huwa washindi wa hii vita.
Watu wengi Wanashuhuda na mikasa ya kufirisiwa na kutiwa umasikini na watu wa familia zao ikiwemo marafiki.
Ushauri; Kabla hujaanza kupambana kwenye Vita ya kiuchumi kwa ngazi ya juu, mulika kwanza hapo ulipo.
Adui wa mtu ni mtu
Kuanzia awamu ya5 yaserikali yetu neno vita yakiuchumi limekuwa likitajwa Sana naviongozi wetu wajuu serikalini.
Kwa nilivyowaelewa wanamaanisha kuwa mtu,kikundi,taasisi ama nchi yoyte inayopinga mipango ya maendeleo kwa nchi yetu,hawa watakua wapiganaji wa hii vita ya kiuchumi.
Sasa Mimi huko serikalini napaacha Kama palivyo.
Hii 'Vita ya kiuchumi' katika ngazi nilizotaja kwenye kichwa Cha mada nimbaya na inatafuna zaidi kuliko hii ya serikali na nchi kwa ujumla. Kwanini?
Vita hii inahusisha ndugu,marafiki na kila unayemuamini katika mzunguko wako wamaisha.
Mbinu zitumikazo hapa ni majungu,unafiki na ikibidi uchawi.Lengo la yote niwewe uanguke ili either mfanane kimaisha au wao wawe juu yako.
Ugumu wakupambana na Vita hii katika ngazi tajwa nikwamba wapiganaji(maadui),hawataki uwafahamu hivyo wanakuchekea, wanakushauri na wakati mwingine wanakusaidia pale unalowahitaji Ila mioyoni wamebeba agenda ya kukuangusha.
Wakuu, Hawa watu ni wabaya na Mara nyingi huwa washindi wa hii vita.
Watu wengi Wanashuhuda na mikasa ya kufirisiwa na kutiwa umasikini na watu wa familia zao ikiwemo marafiki.
Ushauri; Kabla hujaanza kupambana kwenye Vita ya kiuchumi kwa ngazi ya juu, mulika kwanza hapo ulipo.
Adui wa mtu ni mtu