Vita ya kati ya Korea kaskazini na Marekani chanzo chake ni nini?

sipati picha..
maana mpaka anajiamini hivo ujue hizo missile sio za kuchezea...
mapigano yao yatahitaji kuvoziana maana atakaeanza kutua kwa mwenzie ndie atakaesambaratisha dunia y mwenzie ...


unadhani mkorea atarusha missile washngton dc

analipeleka zito kabisa Area 51 ,lazima trump afe kwa presha
baada ya hapo amerca na Asia hakutakuwa sehemu salama
Hapo umenena mkuu
 
Back
Top Bottom