Qassim14
Senior Member
- Oct 10, 2017
- 182
- 202
Kwa anaejua lolote kuhusu chanzo cha ugomvi juu ya hizi nchi mbili zenye ubabe mwingi wa maneno.
Kwa anaejua kwa kina na alete uchambuzi kwa hawa watu;
1. Kim
2. Trump
Sababu zipi zinawafanya wasipigane? Na zipi zinawafanya wasikubali kukaa meza moja kisuluhisha utata baina yao?
Kwa anaejua lolote kwa undani atupe elimu ya bure na tujifunze kitu.
Nawasilisha
Kwa anaejua kwa kina na alete uchambuzi kwa hawa watu;
1. Kim
2. Trump
Sababu zipi zinawafanya wasipigane? Na zipi zinawafanya wasikubali kukaa meza moja kisuluhisha utata baina yao?
Kwa anaejua lolote kwa undani atupe elimu ya bure na tujifunze kitu.
Nawasilisha