Vita ya gesi Mtwara na taswira ya Tanzania nje ya nchi: Nani anajali?

lukanima

Member
Apr 6, 2013
52
34
Maelezo yafuatayo ni kwa mujibu wa ushauri wa serikali ya Canada kwa raia wake kuhusu hali ya Tanzania .
Kwa maelezo zaidi ingia katika tovuti http://travel.gc.ca/destinations/tanzania

Security

The decision to travel is your responsibility. You are also responsible for your personal safety abroad. The purpose of this Travel Advice is to provide up-to-date information to enable you to make well-informed decisions.

Mtwara (see advisory)

Demonstrations and riots took place in the town of Mtwara on May 22 and 23, 2013. Casualties and looting have been reported. Roads could be impassable. Military forces have been deployed and tension remains high. Avoid large gatherings and demonstrations, follow the advice of local authorities and monitor local media.

Sectarian violence

In recent years, Tanzania has seen a slight increase in sectarian violence between Christians and Muslims, including in places of worship. Take this information into consideration when planning your trip.

Terrorism

There is a threat from terrorism in Tanzania. Regional terror groups, such as Al-Qaeda and Al-Shabaab, are active in East Africa. Be vigilant in crowded places and monitor local media.

Crime

Violent crime has increased throughout the country, both in the country and in main cities. Exercise a high degree of caution, especially in Dar es Salaam and Zanzibar, and in public places such as hotels, restaurants, nightclubs, cinemas and shopping centres. Muggings, attacks and hold-ups occur occasionally in Dar es Salaam, Stone Town and in the immediate vicinity of the coastal resorts on Unguja. You should be vigilant, particularly in Stone Town after dark. Avoid deserted beaches.
In Dar es Salaam, particular caution is warranted on Toure Drive (Msasani Peninsula) where muggings and attacks, including attacks on moving vehicles, have recently been reported.
Petty crime is prevalent. Muggings, pickpocketing and theft are common in crowded areas, on public transportation and on public beaches.
Sexual assaults involving tourists have been reported.
An increasing number of Canadians have reported being taken to automated banking machines (ABMs) and forced to withdraw funds from their account after accepting a ride from a stranger, a local taxi or a recent acquaintance. Incidents are most often reported at ferry, bus and train terminals in Dar es Salaam. Use only licensed taxis selected by a reputable hotel or restaurant, or one located at an official taxi stand. Always ask for identification before accepting transportation and check that the driver's ID matches the name of the car registration and taxi license. Avoid taking a taxi that has been hailed for you by a recent acquaintance. Instead, hail your own taxi. A licensed taxi is a white car with a white (never yellow) license plate, a colored stripe running laterally on the side panels of the vehicle, and a number inside a circle on both passenger doors.
Armed robbery, although rare, can also occur in parks and nature reserves, including the northern circuit in the vicinity of Serengeti National Park, Ngogongoro and Arusha National Parks, and regions surrounding Mount Kilimanjaro. Organized tours and independent travellers have been targeted. You should only travel with a reputable tour company (hotels can make recommendations). Avoid camping or travelling alone.
Remain on tourist routes and avoid remote areas. Exercise caution in and around Arusha, where armed robberies and carjackings have been reported. Should you find yourself on less-travelled roads and trails, avoid stopping since armed robberies and carjackings may occur. Keep doors locked and windows up at all times and do not pick up strangers. Travel in a convoy between cities, and avoid travelling after dark.
Travel near refugee camps in the northwestern area bordering the Democratic Republic of Congo, Rwanda and Burundi (in the region of Kigoma and to the west of Kagera) is dangerous due to banditry.

Demonstrations

Demonstrations occur and have the potential to suddenly turn violent. Canadians should avoid all large gatherings and demonstrations, follow the advice of local authorities and monitor local media.

Corruption

Be careful when going through Customs at airports, as officials have been known to solicit bribes. In a common scheme, an official will ask the visitor to produce a certificate of proof of inoculation against yellow fever, even though a yellow fever certificate is only required if arriving from a country where yellow fever is endemic. If such a scheme occurs, you may request to speak to a senior official. However, if this does not work, be patient and negotiate with the official.
You may be approached by police officers requesting money for alleged offences. We recommend that you insist on proper identification before proceeding to a police station. You may also inform the police officers that you will contact the High Commission for advice. This tends to dissuade them from soliciting bribes. Report all such incidents to the High Commission of Canada in Dar es Salaam.

Road travel

Traffic drives on the left. Road conditions are poor and road signs are often missing. For travel outside main cities, use a four-wheel-drive vehicle. Excessive speeds, driving habits, poor lighting, lack of vehicle maintenance, roaming wildlife and livestock, cyclists and pedestrians pose risks. Travel by road at night should be avoided. Within cities, travel with licensed taxis and ask for identification. Avoid driving unless you are familiar with local conditions.

Other transportation

Bus travel is not recommended, as bus accidents often result in fatalities. Rail service is limited, uncomfortable, and unreliable.
Use only licensed taxis selected by a reputable hotel or restaurant, or one located at an official taxi stand (see Crime section above).

Ferries

While there are regular ferries travelling between Dar es Salaam and Zanzibar, Tanzania ports are often frequented by persuasive ticket scalpers. Passengers should only use reputable ferry companies, as two local ferries with foreign national passengers have capsized in 2012. If you believe a ferry to be overloaded or unsafe, refrain from boarding and make alternative travel arrangements. Vessels travelling between Zanzibar/Pemba, Tanga/Pemba and Mafia/Mainland Tanzania are reported to be less reliable and often overcrowded.

Air travel

Domestic flights may be subject to delays and cancellations.
Consult our Transportation FAQ in order to verify if national airlines meet safety standards.

Piracy

Pirate attacks occur in coastal waters, and in some cases, further out at sea. Mariners should take appropriate precautions. For additional information, consult the Live Piracy Report published by the International Maritime Bureau.

General safety information

Leave personal belongings, including cash, passports and airline tickets, in a hotel safe or other secure location.
Avoid walking after dark. Do not accept food or drink from strangers as they may be drugged.
Seek local advice on the security situation prior to visiting beaches.
Tourist facilities are adequate in major cities but limited in remote areas, with the exception of principal game lodges and beach resorts.
Wild animals can be dangerous. When visiting parks or nature reserves, follow the advice and warnings of local tour guides.
If you are considering climbing Mount Kilimanjaro, carefully consider the inherent risks involved, primarily altitude sickness and hypothermia. It is important to investigate the numerous tour operators in order to find a reputable guide. Each year people are seriously injured or killed on the mountain and emergency assistance is severely limited.
Due to power shortages, power cuts may occur on a daily basis. Travellers should expect occasional disruptions in power, as not all businesses are equipped with a generator.

Emergency services

In an emergency, dial 112 for police.

My take:
Hii ni aibu tupu kwa nchi inayojinasibu kuwa kisiwa cha amani! Matatizo yenyewe ni ya kipuuzi tu yanayoweza kuzuilika bila hata fedha za wahisani. Lakini ni aibu sana kuona tunashindwa hata kuzuia unyanyasaji wa wasafiri katika uwanja wa ndege wa DSM. Ati chanjo ya Yellow Fever nayo ni mradi wa maafisa wa uwanja wa ndege kupokea rushwa.

Kila wakati viongozi wanasafiri nje ya nchi. Wanadai wanaenda kutafuta misaada na kujifunza mambo ya huko. Ni manufaa gani wametuletea katika hizo safari? Mbona hatuoni mabadiliko chanya!
Hata kuweka utaratibu mzuri wa kuuza tiketi za usafiri tunahitaji wafadhili watusaidie? Hata kufuata ratiba za usafiri wa ndege tunahitaji ufadhili?
Je, tunahitaji wafadhili kutusaidia kukaa na kuwasikiliza wananchi wa Mtwara?
Je, tunahitaji wafadhili kusafisha akili za viongozi wabinafsi wanaoeneza sumu za udini na ukabila kwa manufaa yao ya kisiasa?
Hii ndiyo Tanzania: Kisiwa Cha Amani!!!!
 
Kiongozi!

Hawa viongozi hawawezi kuyajua haya maana hawana muda wa kuyasoma. Hata hao wanao tuwakilisha kwenye balozi zetu ndio wale wale.

Wako busy na kusafiri kwenda nchi za watu na kushangaa maendeleo ya wenzetu, huku wakikomalia posho za safari tuu!

Jiulize, ni safari ngapi wanazo safiri nje ya nchi lakini hakuna hata moja zuri walilo iga toka kwa wenzetu!!???

POOR MY TANGANYIKA.
 
nashauri uwasilishe taarifa hizo kwa barua rasmi kwa wafuatao ambao wanahusika moja kwa moja na taarif hizo

IGP, Head wa Immigration, DC Mtwara, etc. alaf tuma nakala kwa Waziri Mkuu na katibu Mkuu Kiongozi

Alaf baada ya mwezi waulize hao wahusika wamechukua hatua gani, na wamefikia wapi.

Ukifanya hivo, utakua Mzalendo halisi sio mzalendo wa kuandika na kulalamika tu
 
nashauri uwasilishe taarifa hizo kwa barua rasmi kwa wafuatao ambao wanahusika moja kwa moja na taarif hizo

IGP, Head wa Immigration, DC Mtwara, etc. alaf tuma nakala kwa Waziri Mkuu na katibu Mkuu Kiongozi

Alaf baada ya mwezi waulize hao wahusika wamechukua hatua gani, na wamefikia wapi.

Ukifanya hivo, utakua Mzalendo halisi sio mzalendo wa kuandika na kulalamika tu

mkuu hata hapa jamvini ni vizuri sn ku2letea taarifa muhimu km hizi....kwan hao unaotaka wapelekewe hii taarifa unadhan hawajui athari za wanayoyafanya! Na je ushaona wanachukua hatua yeyote ile??
 
Duh kumbe website zao zishajazwa na riot za Mtwara...Here we go!!
 
Sijui na hili hawa jamaa wa CCM watasema CHADEMA wanahusika kuichafua nchi? Ni aibu sana kwa nchi yetu, sidhani kama kuna Mcanada anaweza kuichagua Tanzania kuwa sehemu yake ya mapumziko, yaani na tahadhari zote hizo kimlete nini huku ku-risk maisha yake?
 
Mkuu ni vema ushauri huu ukawapa wanaohusika na uchochezi na lazima unawajua wahusika,hayuwezi kuwa na taifa la watu wa ainahii,baadhi wamekamatwa na kazi inaendelea mpaka ifahamike.
 
aibu kwa nani? fahamu kwamba kwa wazungu that is a typical africa! hata ungefanya nini hata siku moja usidhani mzungu atakusifu! ni aibu kwako wewe unayeionea aibu nchi yako! kama huioni Tz kama kisiwa cha amani then try huko unako kuona kuzuri! ila kumbuka ule wimbo wa zamani wa bongo flaver wa "nyumbani ni nyumbani hata kama vichakani......"
 
Inabidi tuchukue hatua za kusafisha image yetu Kimataifa, hiyo habari haijakaa vema!
 
Back
Top Bottom