Vita ya Gazeti la Mwananchi na Joshua Nassari- Limekosa hoja

Mwana Kwetu

JF-Expert Member
Jul 12, 2011
652
562
Nataka nitofautiane kwa mbali na mashambulizi aliyofanya mhariri wa gazeti la Mwananchi dhidi ya Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nassari. Kauli aliyotoa Nassari siyo kauli mbaya kuliko zote kutolewa na kiongozi wa kisiasa kiasi cha Mhariri kutumia maelezo mengi kumdhalilisha mbunge huyu eti "alikuwa hajajipanga kuwa Mbunge". Huu ni unafiki mkubwa na chuki binafsi kwani the same gazeti kwa kipindi chote karibu mwenzi mzima wa Kampeni za ubunge huko Arumeru liliweza kusikiliza na kuripoti kampeni za Nassari vizuri kabisa na wakati mwingi kumsifia. Mwezi huo ulikuwa unatosha kueleza wanayoeleza leo kwani si rahisi kama mtu hana busara au zimtoshi kuweza kuzificha kwa mwenzi mzima. Mfano mzuri ni Livingistone Lusinde alivyodhihirisha utaalam wa matusi na utomvu wa nidhamu kwa muda mfupi alioshiriki katika kampeni. Leo hii Joshua anateleza kidogo Gazeti la mwananchi linamshambulia eti anatakiwa afundwe, na alikuwa hajajipanga kuwa mbunge. Hili gazeti nasema limetumwa na inawezekana ndio mwanzo wa kupoteza dira na heshima iliyojijengea.

Hivi ni mara ngapi mkuu wa nchi anatoa kauli mbaya na hata za iabu kuliko Nassari na hamsemi anahitaji kufundwa au hajajiandaa kuwa rais?

"Ni mara ngapi Mawaziri wanatoa kauli ambazo zinatia kichefuchefu na aibu kwa taifa na humuandiki?"

Iweje leo mtumie karibu ukurasa mzima kumshambulia Mbunge wa Arumeru.

GAZETI LA MWANANCHI LIMEKWENDA MBALI SANA KWANI MAJUMUISHO YA MHARIRI YANATAKA KUAMINISHA WASOMAJI KWAMBA NASSARI HAJUI AFANYALO, HAJATULIA, HAJAKOMAA NA HANA UWEZO WA KUONGEA MAJUKWAANI.
Mimi natofautiana nanyi kutokana na chuki binafsi mliyoonyesha kuicheza ngoma msiyoijua sawasawa.
 
Nataka nitofautiane kwa mbali na mashambulizi aliyofanya mhariri wa gazeti la Mwananchi dhidi ya Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nassari. Kauli aliyotoa Nassari siyo kauli mbaya kuliko zote kutolewa na kiongozi wa kisiasa kiasi cha Mhariri kutumia maelezo mengi kumdhalilisha mbunge huyu eti "alikuwa hajajipanga kuwa Mbunge". Huu ni unafiki mkubwa na chuki binafsi kwani the same gazeti kwa kipindi chote karibu mwenzi mzima wa Kampeni za ubunge huko Arumeru liliweza kusikiliza na kuripoti kampeni za Nassari vizuri kabisa na wakati mwingi kumsifia. Mwezi huo ulikuwa unatosha kueleza wanayoeleza leo kwani si rahisi kama mtu hana busara au zimtoshi kuweza kuzificha kwa mwenzi mzima. Mfano mzuri ni Livingistone Lusinde alivyodhihirisha utaalam wa matusi na utomvu wa nidhamu kwa muda mfupi alioshiriki katika kampeni. Leo hii Joshua anateleza kidogo Gazeti la mwananchi linamshambulia eti anatakiwa afundwe, na alikuwa hajajipanga kuwa mbunge. Hili gazeti nasema limetumwa na inawezekana ndio mwanzo wa kupoteza dira na heshima iliyojijengea.

Hivi ni mara ngapi mkuu wa nchi anatoa kauli mbaya na hata za iabu kuliko Nassari na hamsemi anahitaji kufundwa au hajajiandaa kuwa rais?

Ni mara ngapi Mawaziri wanatoa kauli ambazo zinatia kichefuchefu na iabu kwa taifa na humuandiki?

Iweje leo mtumie karibu ukurasa mzima kumshambulia Mbunge wa Arumeru.

GAZETI LA MWANANCHI LIMEKWENDA MBALI SANA KWANI MAJUMUISHO YA MHARIRI YANATAKA KUAMINISHA WASOMAJI KWAMBA NASSARI HAJUI AFANYALO, HAJATULIA, HAJAKOMAA NA HANA UWEZO WA KUONGEA MAJUKWAANI.
Mimi natofautiana nanyi kutokana na chuki binafsi mliyoonyesha kuicheza ngoma msiyoijua sawsawa.
Mbona JK kamteua Mbatia kutimiza yale waliyokubaliana na Cameroun kuhusu haki za "Makundi mengine" ndani ya jamii lakini hawasemi kwamba amekosea!
 
Gazeti hili mi nilikuwa naliamini sana, lakn tangu niliposikia mtu wa EL kapelekwa pale nalitazama kwa mashaka sana. Ukiona hivyo ujue kazi inaanza!
 
Mwananchi ni gazeti ambalo halilalii upande wowote, mie ndio gazeti langu nambari wani, mbona anaposemwa rais na magazeti mengine hupigi kelele? kama kitoto kimekosea acha kisemwe, binafsi naona kweli alikuwa hajapevuka kiasi cha kwenda kugombea ubunge, na amekosea na kujishushia heshma yake na chama kwa ujumla.
 
Tido Mhando bosi wa Mwananchi alikuwa mtumishi mtiifu wa magamba kwa muda mrefu kwa hiyo gamba halijavuka vizuri kwa hiyo usishangae gazeti kupoteza muelekeo. Mbona alichoongea Nassary ni kidogo mno ukilinganishwa na yanayozungumzwa na RADIO IMAAN kila siku. Hii Radio inaongelea kuwabagua watanzania na kuwagawa mchana kweupe lakini si gazeti la Mwananchi au polisisiem waliolaani hiyo radio
 
inaonyesha pia huyo mhariri upeo wake ni mdogo ila amepewa nafasi kubwa kuliko uwezo wake.. hivi uyo anaweza kusimama na nasary jukwaani..! pengine hata uandishi pia sio fani yake..kwani mkeo akikosea siku moja utamlaumu na kusema hukustahili kuwa mke..!! hao ndio wale waandishi waliokula pesa ya cm arumeru maana kwa siku ccm ilikuwa ikiwalipa laki 3 na ikawapa vx nne za kufanyia kazi..so bado wana kazi ya kulipa fadhila.. wasiwachafulie akina neville.. magazeti yapo mengi anaweza kwenda uhuru,au habari leo.. lakini pia juzi ccm ilipiga beat magazeti kuhusu kutoandika yale maneno ya nasary..labda pia anawatuliza wenye nchi..
 
Nataka nitofautiane kwa mbali na mashambulizi aliyofanya mhariri wa gazeti la Mwananchi dhidi ya Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nassari. Kauli aliyotoa Nassari siyo kauli mbaya kuliko zote kutolewa na kiongozi wa kisiasa kiasi cha Mhariri kutumia maelezo mengi kumdhalilisha mbunge huyu eti "alikuwa hajajipanga kuwa Mbunge". Huu ni unafiki mkubwa na chuki binafsi kwani the same gazeti kwa kipindi chote karibu mwenzi mzima wa Kampeni za ubunge huko Arumeru liliweza kusikiliza na kuripoti kampeni za Nassari vizuri kabisa na wakati mwingi kumsifia. Mwezi huo ulikuwa unatosha kueleza wanayoeleza leo kwani si rahisi kama mtu hana busara au zimtoshi kuweza kuzificha kwa mwenzi mzima. Mfano mzuri ni Livingistone Lusinde alivyodhihirisha utaalam wa matusi na utomvu wa nidhamu kwa muda mfupi alioshiriki katika kampeni. Leo hii Joshua anateleza kidogo Gazeti la mwananchi linamshambulia eti anatakiwa afundwe, na alikuwa hajajipanga kuwa mbunge. Hili gazeti nasema limetumwa na inawezekana ndio mwanzo wa kupoteza dira na heshima iliyojijengea.

Hivi ni mara ngapi mkuu wa nchi anatoa kauli mbaya na hata za iabu kuliko Nassari na hamsemi anahitaji kufundwa au hajajiandaa kuwa rais?

Ni mara ngapi Mawaziri wanatoa kauli ambazo zinatia kichefuchefu na iabu kwa taifa na humuandiki?

Iweje leo mtumie karibu ukurasa mzima kumshambulia Mbunge wa Arumeru.

GAZETI LA MWANANCHI LIMEKWENDA MBALI SANA KWANI MAJUMUISHO YA MHARIRI YANATAKA KUAMINISHA WASOMAJI KWAMBA NASSARI HAJUI AFANYALO, HAJATULIA, HAJAKOMAA NA HANA UWEZO WA KUONGEA MAJUKWAANI.
Mimi natofautiana nanyi kutokana na chuki binafsi mliyoonyesha kuicheza ngoma msiyoijua sawsawa.




NI HOJA KWA GAZETI LA MWANANCHI ILA KITU AMBACH NA WEWE UMEKOSEA NI:

1.Nimesoma kolamu ya maoni ya Mhariri: Kilichonishtua ni kuona taharri ya aina hii kwenye gazet la mwananchi likiihusu CDM. Niseme wazi gazeti la mwananchi ni gazeti bora kwa TZ, no one can deny that fact, nilipotafakari niligundua tahariri ile ni ya kujenga CDM

2. Kwa namna yeyote ile kama Josh Nassari katoa kauli kama hizo zinazoelezwa mimi kwa maoni yangu nasema si sawa. Kiongozi lazima uwe na uwezo wa 'kuhesabu' maneno kufikisha ujumbe ulele.

3. Nakubaliana na wewe (penye redi). Haiwezekani kijana Josh nasssari alikuwa hajajiandaa, siaamini unahitaji kusomea ubunge. kwanza kigezo ni kujua kusoma na kuandika. so hapo hata mimi natofautiana na tahariri ya mwananchi kwa nionavyo mimi.

4. Siamini ni mashambulizi; naona kama ni jambo zuri kwa CDM kulichukua. Kwa nini? Zote hizi ni njama za CCM kusikiliz na kuhesabu kila neno linalosemwa na CDM na kujitahidi kuwafungulia kesi, so mpaka 2015 viongozi wengi 'makini' wa chadema watakuwa na kesi na wenginejela.So kwa Chama makini kama Chadema should take that very positive. Na nashauri kuwe na kitengo cha 'consultuncy' pale CDM kuhusu mambo ya siasa na risks ambazo they might be coming na'mitigation' mesures suggestion

5. Mwananchi limekuwa likiandika mambo mema kuhusu CDM, leo wwamejaribu kuungalia nupande wa pili wa shs, tuwe wavumilivu, ndi changamoto na changamoto hujenga. Kumbuka Mwananchi limewahi kushutumiwa na CCM kukipendelea CDM, so wanavyoturn kwetu siku moja tusome kwa makini na kujirekebesha.

6.Tunajiandaa kuchukua nchi, tuwe makini na 'maadui'. Tuhesabu maneno kufikish ujumbe uleule.


VIVA CDM. Aluta Contunua Josh Nassari
 
NI HOJA KWA GAZETI LA MWANANCHI ILA KITU AMBACH NA WEWE UMEKOSEA NI:

1.Nimesoma kolamu ya maoni ya Mhariri: Kilichonishtua ni kuona taharri ya aina hii kwenye gazet la mwananchi likiihusu CDM. Niseme wazi gazeti la mwananchi ni gazeti bora kwa TZ, no one can deny that fact, nilipotafakari niligundua tahariri ile ni ya kujenga CDM

2. Kwa namna yeyote ile kama Josh Nassari katoa kauli kama hizo zinazoelezwa mimi kwa maoni yangu nasema si sawa. Kiongozi lazima uwe na uwezo wa 'kuhesabu' maneno kufikisha ujumbe ulele.

3. Nakubaliana na wewe (penye redi). Haiwezekani kijana Josh nasssari alikuwa hajajiandaa, siaamini unahitaji kusomea ubunge. kwanza kigezo ni kujua kusoma na kuandika. so hapo hata mimi natofautiana na tahariri ya mwananchi kwa nionavyo mimi.

4. Siamini ni mashambulizi; naona kama ni jambo zuri kwa CDM kulichukua. Kwa nini? Zote hizi ni njama za CCM kusikiliz na kuhesabu kila neno linalosemwa na CDM na kujitahidi kuwafungulia kesi, so mpaka 2015 viongozi wengi 'makini' wa chadema watakuwa na kesi na wenginejela.So kwa Chama makini kama Chadema should take that very positive. Na nashauri kuwe na kitengo cha 'consultuncy' pale CDM kuhusu mambo ya siasa na risks ambazo they might be coming na'mitigation' mesures suggestion

5. Mwananchi limekuwa likiandika mambo mema kuhusu CDM, leo wwamejaribu kuungalia nupande wa pili wa shs, tuwe wavumilivu, ndi changamoto na changamoto hujenga. Kumbuka Mwananchi limewahi kushutumiwa na CCM kukipendelea CDM, so wanavyoturn kwetu siku moja tusome kwa makini na kujirekebesha.

6.Tunajiandaa kuchukua nchi, tuwe makini na 'maadui'. Tuhesabu maneno kufikish ujumbe uleule.


VIVA CDM. Aluta Contunua Josh Nassari

Muchembe like this
 
Gazeti la mwananchi ni kibaraka mkubwa wa mafisadi.Wasipoangalia litakuwa la kufungia vitumbua.
 
Nataka nitofautiane kwa mbali na mashambulizi aliyofanya mhariri wa gazeti la Mwananchi dhidi ya Mbunge wa Arumeru Mh. Joshua Nassari. Kauli aliyotoa Nassari siyo kauli mbaya kuliko zote kutolewa na kiongozi wa kisiasa kiasi cha Mhariri kutumia maelezo mengi kumdhalilisha mbunge huyu eti "alikuwa hajajipanga kuwa Mbunge". Huu ni unafiki mkubwa na chuki binafsi kwani the same gazeti kwa kipindi chote karibu mwenzi mzima wa Kampeni za ubunge huko Arumeru liliweza kusikiliza na kuripoti kampeni za Nassari vizuri kabisa na wakati mwingi kumsifia. Mwezi huo ulikuwa unatosha kueleza wanayoeleza leo kwani si rahisi kama mtu hana busara au zimtoshi kuweza kuzificha kwa mwenzi mzima. Mfano mzuri ni Livingistone Lusinde alivyodhihirisha utaalam wa matusi na utomvu wa nidhamu kwa muda mfupi alioshiriki katika kampeni. Leo hii Joshua anateleza kidogo Gazeti la mwananchi linamshambulia eti anatakiwa afundwe, na alikuwa hajajipanga kuwa mbunge. Hili gazeti nasema limetumwa na inawezekana ndio mwanzo wa kupoteza dira na heshima iliyojijengea.

Hivi ni mara ngapi mkuu wa nchi anatoa kauli mbaya na hata za iabu kuliko Nassari na hamsemi anahitaji kufundwa au hajajiandaa kuwa rais?

Ni mara ngapi Mawaziri wanatoa kauli ambazo zinatia kichefuchefu na iabu kwa taifa na humuandiki?

Iweje leo mtumie karibu ukurasa mzima kumshambulia Mbunge wa Arumeru.

GAZETI LA MWANANCHI LIMEKWENDA MBALI SANA KWANI MAJUMUISHO YA MHARIRI YANATAKA KUAMINISHA WASOMAJI KWAMBA NASSARI HAJUI AFANYALO, HAJATULIA, HAJAKOMAA NA HANA UWEZO WA KUONGEA MAJUKWAANI.
Mimi natofautiana nanyi kutokana na chuki binafsi mliyoonyesha kuicheza ngoma msiyoijua sawsawa.

Sina uhakika sana ila nadhani maandishi mekundu yako sahihi. Mpaka leo bado najiuliza kama NASSARI kutamka jukwaani kuwa atamuoa HALIMA MDEE ilikuwa ni sehemu sahihi kutolea manenon kama hayo. Sitaki kum-discourage sana mbunge huyu, ila nadhani kuna kitu anakikosa kichwani ili awe na sifa za kuwa kioo cha jamii. Tukiendelea kumtetea tutakuwa hatumsaidiin otherwise awe wazi kuwa kaulin hiyo ilikuwa ni msisitizo wa moja ya sera za Chama chake za uma-jimbo.
 
NI HOJA KWA GAZETI LA MWANANCHI ILA KITU AMBACH NA WEWE UMEKOSEA NI:

1.Nimesoma kolamu ya maoni ya Mhariri: Kilichonishtua ni kuona taharri ya aina hii kwenye gazet la mwananchi likiihusu CDM. Niseme wazi gazeti la mwananchi ni gazeti bora kwa TZ, no one can deny that fact, nilipotafakari niligundua tahariri ile ni ya kujenga CDM

2. Kwa namna yeyote ile kama Josh Nassari katoa kauli kama hizo zinazoelezwa mimi kwa maoni yangu nasema si sawa. Kiongozi lazima uwe na uwezo wa 'kuhesabu' maneno kufikisha ujumbe ulele.

3. Nakubaliana na wewe (penye redi). Haiwezekani kijana Josh nasssari alikuwa hajajiandaa, siaamini unahitaji kusomea ubunge. kwanza kigezo ni kujua kusoma na kuandika. so hapo hata mimi natofautiana na tahariri ya mwananchi kwa nionavyo mimi.

4. Siamini ni mashambulizi; naona kama ni jambo zuri kwa CDM kulichukua. Kwa nini? Zote hizi ni njama za CCM kusikiliz na kuhesabu kila neno linalosemwa na CDM na kujitahidi kuwafungulia kesi, so mpaka 2015 viongozi wengi 'makini' wa chadema watakuwa na kesi na wenginejela.So kwa Chama makini kama Chadema should take that very positive. Na nashauri kuwe na kitengo cha 'consultuncy' pale CDM kuhusu mambo ya siasa na risks ambazo they might be coming na'mitigation' mesures suggestion

5. Mwananchi limekuwa likiandika mambo mema kuhusu CDM, leo wwamejaribu kuungalia nupande wa pili wa shs, tuwe wavumilivu, ndi changamoto na changamoto hujenga. Kumbuka Mwananchi limewahi kushutumiwa na CCM kukipendelea CDM, so wanavyoturn kwetu siku moja tusome kwa makini na kujirekebesha.

6.Tunajiandaa kuchukua nchi, tuwe makini na 'maadui'. Tuhesabu maneno kufikish ujumbe uleule.


VIVA CDM. Aluta Contunua Josh Nassari

Tuwaachie viongozi wetu wawe ndo watetezi zaidi wa kauli zao chafu wanazozitoa ili waoneshe ukomavu walio nao kisiasa , tukianza kuwakingia kifua eti kwa sababu ni jamaa, ndugu, rafiki yako au kwa sababu anatoka chama unachoshabikia, hakika tunatengeneza viongozi vilaza. Hata hili la NASSARI nalo ni la kumtetea kweli? anashindwa kujitokeza mwenyewe kwenye media akatwambia msimamo wake ni nini kuhusiana na kauli yake? Tusiwalee vijana hawa kama mayai baadaye yatakuwa mayai viza.
 
Jamani inawezekana nao mwananchi wamekurupuka kama alivyokurupuka Nassary kuongea vile... Wote wawili Nassary na Mwananchi wanatakiwa kusamehewa, tusiwahukumu vibaya kwa KOSA moja moja walilolifanya!! Tuendelee kuwaamini kwani wao ni binadamu na wana mapungufu yao
 
Niliposikia Tido Mhando kahamia Mwananchi niliweka akama ya kuuliza katika mabano
 
Nadhan Wameshiba sifa!! Kwa sasa Nalifanisha na Jambo Leo!! Huwa nimelipa Likizo ya kulinunua Kwa week Tatu!!

Cha kujiuliza hawakuwahi kukemea matusi ya nguoni aliyotamka Lusinde wala kutenga kurasa tatu za gazeti kutukana CCM kama walivyotenga leo maalum kutukana CDM
 
Hili gazeti linatumiwa na ZITTO na Usalama wa Taifa (AKA) ZOKA. Nani asiyejua uhusiano wa Mhariri wa gazeti hilo, Denis Msaki na Zitto? Nani asiyejua uhusiano wa MSAKI, ZOKA NA ZITO?

NANI asiyejua kuwa Zitto anataka kuonekana yeye ndiyo mwanasisa makini na bora ndani ya CDM kuliko wengine.

GAZETI LA MWANANCHI limetia aibu katika hili. Linakubali kutumiwa na watu wenye maslahi binafsi tena kwenye tahariri? Uandishi gani huu usiyofuata maadili? Vyombo vya dola vimetangaza kufanya uchunguzi juu ya matamshi ya NASARI, KABLA YA UCHUNGUZI HAUJATOKA, gazeti linaandika tahariri? Aibu!

Brother TIDO hapa unaharibu sifa yako. Je, ikiwa Nasari atafikishwa mahakamani mtaweza vipi kujitetea kuwa TAHARIRI yenu hamkushinikiza polisi kuchukua hatua hiyo? Je, akipelekwa mahakamani na akashinda kesi, mtakuwa tayari kulipa fidia kwa mliyosababisha? Mbona mnataka kutumiwa kama KONDOM kwa maslahi ya kundi fulani - ZOKA NA ZITO kupitia kwa MSAKI?

Nawasilisha.
 
HIYO TAHARIRI NI CHUNGU LAKINI DAWA,

MAKAMANDA KTK HILO NAOMBA TUCHUKUE ILE POSITIVE KTK NEGATIVE ZA MUHARIRI KISHA TUSONGE, TUKUMBUKE HATUTAKIWI KULALA

UKWEL NI KWAMBA NASAR NI MBUNGE BORA KWA UFAHAMU KULIKO WABUNGE WENGI WA CCM,
KM MWANANCHI WAMETUONEA TUJIULIZE KM YALE MANENO YALIKUWA SAHIHI AU SIYO.
TUKUMBUKE KUWA CHADEMA NI KAMA KIJANA WA MIAKA 25 WAKTI CCM NI KAMA MZEE WA MIAKA 100, SIKU ZAKE NJEMA ZIMESHAPITA HANA ANACHONGOJA MWANANCHI WANAJUA HILO NDIO MAANA ARUMERU CCM WALISEMA HAWATAKI WA2 WA M
Jukwaa la Siasa
 
Back
Top Bottom