Vita ya Ethiopia: Waafrika ni lini tutaacha unafiki?

So watigray walipovamia kambi ya kijeshi na kuiba silaha kisha kuwateka wanajeshi ulitaka serikali ikenue na kuwapongeza watigray kwa vile serikali haina chuki na watigray si ndio ? muwe mnafuatilia kabla ya kushabikia , serikali ilitoa maonyo ila watigray wakavamia kambi ya jeshi kuonesha wanaitaji ngumi , je ni bora ufe ukiogopa corona wakati kifo unakiona mlangoni
Kambi ya jeshi ilipovamiwa na kuwateka wanajeshi ilikuwa kabla Au baada ya kuzuia uchaguzi usifanyike?
 
Mbona unajikanyaga mkuu , kusogeza uchaguzi mbele na kuvunja serikali za majimbo vina uhusiano gani?
Wewe una amini Corona ipo Ethiopia au hakuna Corona.
Haya majimbo mbengine mpaka sasa hivi ninapo zungumza na wewe uchaguzi wa majimbo umefanyika au bado ?
 
Hv hujui serikali yyt imepewa huwezo wa kufanya maamuzi yyt ya kiusalama kama kuna janga la kitaifa au kimataifa au na hilo ulikuwa hujui ? Magu mulimponda kwa kufanya uchaguzi kipindi cha corona na huyu mnamponda kwa kusogeza mbele uchaguz , hv waafrika ni watu wa aina gn nyny
Ebu rudi tena ukasome sheria, kanuni na katiba za Serikali za majimbo.
Utajuwa nguvu na uwezo wao upo wapi.
Majimbo yanayo mamlaka ya kujiamria na kufanya maamuzi
Abby alikuwa na chuki binafsi kwa Watigray
 
Kiongozi yeyote asiyekuwa na hekima hulitumbukiza taifa lake kwenye Vita. Mimi nadhani kwa dunia ya Leo Vita is not an issue Bali majadiliano, haijalishi utadhaulika au lah. Majadiliano yanapunguza Mambo mengi Sana.
 
Ukisoma reply humu, asilimia kubwa zinaonesha misimamo ya ushabiki kama wa Simba na Yanga. Kuna mabaya yamefanywa na Abiy na wale waasi. Dawa ilikuwa kila mtu apoteze, wafanye amani, mengine yaendelee.
 
Mtoa mada unasema "Waafrika tupinge mataifa ya nje kuingia Ethiopia", na tuache unafiki lakini hapohapo unasema

"Kwanini Mataifa ya Afrika tusisimame na China kukataa Nchi zetu kuingiliwa na Mataifa ya nje?"

Yaani bado na wewe ni mnafiki. Sasa iweje Afrika tuungane na China ambalo ni Taifa la nje kupinga mataifa ya nje?
 
Wewe una amini Corona ipo Ethiopia au hakuna Corona.
Haya majimbo mbengine mpaka sasa hivi ninapo zungumza na wewe uchaguzi wa majimbo umefanyika au bado ?
Jibu swali mkuu halafu uliza swali lako
 
Mtoa mada unasema "Waafrika tupinge mataifa ya nje kuingia Ethiopia", na tuache unafiki lakini hapohapo unasema

"Kwanini Mataifa ya Afrika tusisimame na China kukataa Nchi zetu kuingiliwa na Mataifa ya nje?"

Yaani bado na wewe ni mnafiki. Sasa iweje Afrika tuungane na China ambalo ni Taifa la nje kupinga mataifa ya nje?
Wazungu wametutawala na tumemwaga damu kupata uhuru wa kisiasa ila uhuru wa kiuchumi bado hawataka tuupate tunaendelea kumwaga damu kuupata uhuru wa kiuchumi kutoka kwa mabeberu wa magharibi , hivyo ni muda sasa wa waafrika kuangalia rafiki mpya ambae anaeweza kututoa kwa huyu katili mzuru
 
Ukisoma reply humu, asilimia kubwa zinaonesha misimamo ya ushabiki kama wa Simba na Yanga. Kuna mabaya yamefanywa na Abiy na wale waasi. Dawa ilikuwa kila mtu apoteze, wafanye amani, mengine yaendelee.
Makosa yalifanywa na waasi kikawaida , amri ya serikali kuu haitakiwi kupingwa na tawala za chini hiyo ni taratibu ya duniani kote na kibaya baada ya kupinga amri ya serikali kuu waasi hao hao walianzisha mashambulizi dhidi ya serikali , tusichokijua ni kuwa wazungu hawajawai kutuombea mema mf Ethiopia ni taifa linaloundwa na watu bright sana na kuruhusu wa ethiopia kuwa wamoja na mshikamano kama taifa moja ni tishio kwa magharibi hivyo rais yyte anaetaka kuwafanya wa ethiopia kuwa pamoja na kuondoa ukabila basi rais huyo anauawa au kupinduliwa mf ni rais kabla ya watigray kuchukua madaraka alipoingia madarakani wazungu walimuunga mkono ila alipotaka kuua serikali za majimbo na kuunda serikali ya jamhuri ya kitaifa hapo ndo walipoibuka watigray na kuunda propaganda za kumchafua ili kupata sapoti ya raia kumtoa madarakani na walifanikiwa ila awamu hii , waethiopia wamestukia mchezo na ndio maana hawajawaacha hawa jamaa watigray kusonga mbele kwenda kuitoa serikali madarakani maana wamejua inshu sio uchahuzi wala inshu sio wao kutolewa kwenye ushawishi ila inshu ni viashiri vya Abey kuja kuileta Ethiopia moja ambayo ina kila aina ya kipaji kwenye kila kipengere cha utendaji serikalini ila ukabila unawafanya baadhi ya watu wasomi usomi wao usinufaishe taifa lao na kuishia kwenda kuwakuzia uchumi ulaya hivyo vita hiyo ni ya kupinga Taratibu za Abey kuileta Ethiopia moja anbapo ndo ilikuwa mawazo yake tangu utotoni kuja kuiona Ethiopia inaoana ,kufanya kazi na kuishi pamoja kama Tanzania bila kujuana kabila ila Mabeberu wamekuwa hawalitaki hili na wamesaidia kuwapindua maraisi wote waliotaka kufanikisha muungano wa ethiopia kama taifa moja
 
Kiongozi yeyote asiyekuwa na hekima hulitumbukiza taifa lake kwenye Vita. Mimi nadhani kwa dunia ya Leo Vita is not an issue Bali majadiliano, haijalishi utadhaulika au lah. Majadiliano yanapunguza Mambo mengi Sana.
Ungekuwa ww ungefanyaj ili kuzuia vita isitokee
 
Ebu rudi tena ukasome sheria, kanuni na katiba za Serikali za majimbo.
Utajuwa nguvu na uwezo wao upo wapi.
Majimbo yanayo mamlaka ya kujiamria na kufanya maamuzi
Abby alikuwa na chuki binafsi kwa Watigray
Acha uongo wewe , serikali za majimbo huwa hazipew uhuru kamili eti kujiamria kila kitu , especially panapokuwa na janga la kitaifa linavuka zaidi ya majimbo matatu , serikali kuu ina haki ya kuzuia chochote kwenye jimbo husika ? na kama mambo yangekuwa hivyo unahisi nini ingekuwa majukumu ya serikali kuu
 
Kambi ya jeshi ilipovamiwa na kuwateka wanajeshi ilikuwa kabla Au baada ya kuzuia uchaguzi usifanyike?
Uchaguzi haukuzuliwa bali serikali kuu ilitamka kutoutambua uchaguzi mdogo wa tigray, je kwa akili zako timamu unahisi hiyo ndo ilikuwa njia ya kuijibu serikali kuu ?
 
Acha uongo wewe , serikali za majimbo huwa hazipew uhuru kamili eti kujiamria kila kitu , especially panapokuwa na janga la kitaifa linavuka zaidi ya majimbo matatu , serikali kuu ina haki ya kuzuia chochote kwenye jimbo husika ? na kama mambo yangekuwa hivyo unahisi nini ingekuwa majukumu ya serikali kuu
Uchaguzi ungefanyika Abby angepungukiwa na kitu gani?
 
Uchaguzi haukuzuliwa bali serikali kuu ilitamka kutoutambua uchaguzi mdogo wa tigray, je kwa akili zako timamu unahisi hiyo ndo ilikuwa njia ya kuijibu serikali kuu ?
Jibu swali acha kuzunguka kambi ya kijeshi ilivamiwa na kutekwa kabla au baada ya kuzuia uchaguzi

Unasema uchaguzi haukuzuliwa wakati waliambiwa wasifanye kwa sababu ya Corona. Hii kauli siyo ya kuzuia
 
Uchaguzi ungefanyika Abby angepungukiwa na kitu gani?
Uchaguzi ulifanyika na haukuzuiliwa ila serikali kuu ilikataa kuufaamu , sorry nikuulize hv ni nchi gani duniani yenye mfumo wa majimbo serikali kuu inaeza toa amri na serikali ya majimbo ikapinga? kuna muda huwa nawashangaa waafrika mnaowashadadia watigray kama una kuwa hauna upeo mdogo basi Kuna namna unanufaika na utetezi wako kwa watu ambao waliongoza nchi bila kuwekea resistance na makabila mengine licha ya kujipendelea kabila lao ila leo hii nchi inaongozwa na mtu wa kabila lingine basi wanataka kuutia doa utawala wa mwenzao . Ningekuwa Abey ningefyeka watigray wote kuanzia jimbo lao hadi wanaoish majimbo mengine maana hao jamaa ni wakabila sana
 
Kama upo kambi ya upinzani basi inabidi tu uwe upande wa wa Tigray maana hata Zitto yupo upande uwo kwa niaba ya upinzani
Upinzani inabidi uwe kwa Abey maana ndo ameshika nchi wala hana mizizi ndani ya serikali kama ilivyo watigray ( ccm pure )
 
Jibu swali acha kuzunguka kambi ya kijeshi ilivamiwa na kutekwa kabla au baada ya kuzuia uchaguzi

Unasema uchaguzi haukuzuliwa wakati waliambiwa wasifanye kwa sababu ya Corona. Hii kauli siyo ya kuzuia
Unasomaga post nzima au unasoma kwa kuruka ruka ? uchaguzi ulisogezwa mbele wala haukuzuiliwa ila watigray hawakusubili tarehe husika iliyopangwa wakafanya uchaguzi wao , na kisha wakavamia kambi ya jeshi ( INAONEKANA HUU MGOGORO HUUJUI UNASIMULIWA KWENYE VIJIWE VYA KAHAWA TU )
 
Back
Top Bottom