Kuna haja ya kutumia mwarobaini, mkwinini, n.k kwa kuwa hizi dawa zinazopikwa hapa nyumbani na zinazoletwa na meli ni janga la kitaifa.
Ikiwa kama watu wanalishwa panadol za unga wa ngano, ARV bandia n.k tutarajie wakina Dr Ndodi wengi zaidi, kwa kuwa udhaifu unaoelezwa humu ndio mtaji wa biashara yao.
Ikiwa kama watu wanalishwa panadol za unga wa ngano, ARV bandia n.k tutarajie wakina Dr Ndodi wengi zaidi, kwa kuwa udhaifu unaoelezwa humu ndio mtaji wa biashara yao.