chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Mungu amurehemu
Kwa akili yako yupi mbaya aliyeua au anayebandika picha kwa kuonyesha ukweli.Mtu mwenye akili timamu huwezi kudhalilisha marehemu kwa lengo la kutafuta sifa mtandaoni.
Unafufua machungu yasiyo ya lazima kwa ndugu zake.
Sikujua uwezo wa kufikiri wa Crashwise uko chini kiasi hiki.
Hata hivyo bado hajachelewa, atakuwa amemtendea haki marehemu na ndugu zake iwapo ata-edit na kuiondoa hii picha.
Wangwe si aliuwawa na CCM. Ndiyo maana yule dereva wake baadaye alipata msamaha wa rais. Dont be so silly while we in the security we know everything happenning in this country. We opt to keep quite due to national security reasons. Chadema tunaomba muendelee kutetea watanzania.Hawa jamaa wameisha sera aisee! Hivi mtu akiweka picha ya maiti ya Chacha Wangwe humu Jamvini akasema kauliwa na Chadema itakuwa sahihi?