Vita vya Ukrein na Urusi Marekani ameshinda Ulaya

Equitable

JF-Expert Member
Dec 24, 2021
2,010
5,444
Marekani ametimiza malengo yake kwa Ulaya ila amefeli kwa Urusi.

1. Lengo la Marekani lilikuwa kumshusha kiuchumi Ujerumani. Ikumbukwe kuwa Ujerumani ndilo taifa lililokuwa na uchumi imara barani Ulaya. Hivyo ilikuwa inakuja kuwa na nguvu za ushawishi kumzidi ndugu wa damu wa Marekani ambaye ni UK. Kumbuka Ujerumani hakubase sana Marekani hivyo kuamua kumharibia uchumi ili awe tegemezi kwa Marekani. Hapo amefaulu.

2. Marekani alitaka silaha , magari vita na ndege za USSR kwa sasa Urusi ziishe. Ndio maana aliwaomba wenye vifaa hivyo wapeleke Ukrain ili zikaishe awape zake bure. Lengo lake lilikuwa apate kuuza vipuri na siraha zake Ulaya. Hili amefanikisha kwa Ulaya kumaliza made in Russia. Shida ni soko

3. Marekani alitaka Russia ikose soko la zana zake za kijeshi ikiwamo ndege. Hapa amefeli baada ya Russia kuchoma kila kilichotoka NATO. Hapa amepandisha soko la Urusi maana zana zake mrusi zimefanya vizuri vitani. Mataifa mengi sasa yanamwamini mrusi kuliko mmarekani.

Nyumbu wa NATO watakapojitambua watamkimbia mmarekani haraka sana.
 
.
20230411_222939.jpg
 
Mkuu hii vita Marekani amedhalilika Ulaya wameumia....

Kitendo cha mfumo wa anga wa Marekani kugongwa pale Ukraine maana yake sasa USA yupo uchi popote alipo duniani..

Sehemu zote alimojaza Yale machumachuma ni kwamba hayana kazi tena mbele ya Mrusi na Mchina.

Ile ni aibu juu ya aibu ya Karne.
 
puti ameanzisha vita ya kishamba jumba bovu limesha mwangukia...
 
Mkuu hii vita Marekani amedhalilika Ulaya wameumia....

Kitendo cha mfumo wa anga wa Marekani kugongwa pale Ukraine maana yake sasa USA yupo uchi popote alipo duniani..

Mote alimojaza Yale machumachuma ni kwamba hayana kazi tena mbele ya Mrusi na Mchina.

Ile ni aibu juu ya aibu ya Karne.
Huoni Saudi anataka kuingia brics yale machuma yaliwekwa yalinde visima vya mafuta, yalibondwa na waasi wanatokea kule yemen kwa vikomboro vya kutengeneza gereji tu, pale ndo Saudi akaanza kujifikiria na hizo silaha za mmarekani
 
Hii vita imeanzishwa na nani?
Marekani ametimiza malengo yake kwa Ulaya ila amefeli kwa Urusi.

1. Lengo la Marekani lilikuwa kumshusha kiuchumi Ujerumani. Ikumbukwe kuwa Ujerumani ndilo taifa lililokuwa na uchumi imara barani Ulaya. Hivyo ilikuwa inakuja kuwa na nguvu za ushawishi kumzidi ndugu wa damu wa Marekani ambaye ni UK. Kumbuka Ujerumani hakubase sana Marekani hivyo kuamua kumharibia uchumi ili awe tegemezi kwa Marekani. Hapo amefaulu.

2. Marekani alitaka silaha , magari vita na ndege za USSR kwa sasa Urusi ziishe. Ndio maana aliwaomba wenye vifaa hivyo wapeleke Ukrain ili zikaishe awape zake bure. Lengo lake lilikuwa apate kuuza vipuri na siraha zake Ulaya. Hili amefanikisha kwa Ulaya kumaliza made in Russia. Shida ni soko

3. Marekani alitaka Russia ikose soko la zana zake za kijeshi ikiwamo ndege. Hapa amefeli baada ya Russia kuchoma kila kilichotoka NATO. Hapa amepandisha soko la Urusi maana zana zake mrusi zimefanya vizuri vitani. Mataifa mengi sasa yanamwamini mrusi kuliko mmarekani.

Nyumbu wa NATO watakapojitambua watamkimbia mmarekani haraka sana.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hii vita waliochezeshwa changamsha bwege ni ulaya,,,,, urusi huku kamega nchi, mmarekani huku kapata soko la bidhaa hapo win, win...... Ila ukija huku mchina na Urusi + Nato,, Nato kaumia
NATO inaundwa na mataifa gani?
Marekani kapata soko la bidhaa gani?
Lengo la Urusi ilikuwa kupora maeneo?
 
Marekani ametimiza malengo yake kwa Ulaya ila amefeli kwa Urusi.

1. Lengo la Marekani lilikuwa kumshusha kiuchumi Ujerumani. Ikumbukwe kuwa Ujerumani ndilo taifa lililokuwa na uchumi imara barani Ulaya. Hivyo ilikuwa inakuja kuwa na nguvu za ushawishi kumzidi ndugu wa damu wa Marekani ambaye ni UK. Kumbuka Ujerumani hakubase sana Marekani hivyo kuamua kumharibia uchumi ili awe tegemezi kwa Marekani. Hapo amefaulu.

2. Marekani alitaka silaha , magari vita na ndege za USSR kwa sasa Urusi ziishe. Ndio maana aliwaomba wenye vifaa hivyo wapeleke Ukrain ili zikaishe awape zake bure. Lengo lake lilikuwa apate kuuza vipuri na siraha zake Ulaya. Hili amefanikisha kwa Ulaya kumaliza made in Russia. Shida ni soko

3. Marekani alitaka Russia ikose soko la zana zake za kijeshi ikiwamo ndege. Hapa amefeli baada ya Russia kuchoma kila kilichotoka NATO. Hapa amepandisha soko la Urusi maana zana zake mrusi zimefanya vizuri vitani. Mataifa mengi sasa yanamwamini mrusi kuliko mmarekani.
e
Nyumbu wa NATO watakapojitambua watamkimbia mmarekani haraka sana.
Watu wa ulaya ni mazombi bora hata ya Mazezeta ya Amerika 🤔
 
Marekani ametimiza malengo yake kwa Ulaya ila amefeli kwa Urusi.

1. Lengo la Marekani lilikuwa kumshusha kiuchumi Ujerumani. Ikumbukwe kuwa Ujerumani ndilo taifa lililokuwa na uchumi imara barani Ulaya. Hivyo ilikuwa inakuja kuwa na nguvu za ushawishi kumzidi ndugu wa damu wa Marekani ambaye ni UK. Kumbuka Ujerumani hakubase sana Marekani hivyo kuamua kumharibia uchumi ili awe tegemezi kwa Marekani. Hapo amefaulu.

2. Marekani alitaka silaha , magari vita na ndege za USSR kwa sasa Urusi ziishe. Ndio maana aliwaomba wenye vifaa hivyo wapeleke Ukrain ili zikaishe awape zake bure. Lengo lake lilikuwa apate kuuza vipuri na siraha zake Ulaya. Hili amefanikisha kwa Ulaya kumaliza made in Russia. Shida ni soko

3. Marekani alitaka Russia ikose soko la zana zake za kijeshi ikiwamo ndege. Hapa amefeli baada ya Russia kuchoma kila kilichotoka NATO. Hapa amepandisha soko la Urusi maana zana zake mrusi zimefanya vizuri vitani. Mataifa mengi sasa yanamwamini mrusi kuliko mmarekani.

Nyumbu wa NATO watakapojitambua watamkimbia mmarekani haraka sana.
Ushabiki tu huu.

Kwanini Marekani itake kuihujumu ulaya na sio China ?
 
Akili za mtanzania bhana🤣🤣🤣🤣🤣
Unaweza ukamwona mtanzania Hana akili,lkn ukijichunguza unagundua wewe ndio punguani kabisa.
Mleta mada kaleta mada ili ijadiliwe .
Waache watu watoe maoni Yao,na wewe toa maoni Yako kwa hoja na vielelezo kupinga hoja zao.
Sasa wewe umekalia kuandika mafumbo TU ambayo hayatusaidii sisi wasomaji.
Unaposema akili za watanzania bana,unamaamisha Nini?
Hujaandika chochote,akili za watanzania zimefanya Nini?
 
Marekani ametimiza malengo yake kwa Ulaya ila amefeli kwa Urusi.

1. Lengo la Marekani lilikuwa kumshusha kiuchumi Ujerumani. Ikumbukwe kuwa Ujerumani ndilo taifa lililokuwa na uchumi imara barani Ulaya. Hivyo ilikuwa inakuja kuwa na nguvu za ushawishi kumzidi ndugu wa damu wa Marekani ambaye ni UK. Kumbuka Ujerumani hakubase sana Marekani hivyo kuamua kumharibia uchumi ili awe tegemezi kwa Marekani. Hapo amefaulu.

2. Marekani alitaka silaha , magari vita na ndege za USSR kwa sasa Urusi ziishe. Ndio maana aliwaomba wenye vifaa hivyo wapeleke Ukrain ili zikaishe awape zake bure. Lengo lake lilikuwa apate kuuza vipuri na siraha zake Ulaya. Hili amefanikisha kwa Ulaya kumaliza made in Russia. Shida ni soko

3. Marekani alitaka Russia ikose soko la zana zake za kijeshi ikiwamo ndege. Hapa amefeli baada ya Russia kuchoma kila kilichotoka NATO. Hapa amepandisha soko la Urusi maana zana zake mrusi zimefanya vizuri vitani. Mataifa mengi sasa yanamwamini mrusi kuliko mmarekani.

Nyumbu wa NATO watakapojitambua watamkimbia mmarekani haraka sana.
Vijana wa Joe Biden watakupinga. Ingawa ulichoandika kina ukweli.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom