Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,868
Nani kafanya hilo shambulio ni Urusi au Syria?Tofauti na Israel., Turkey militarily hayuko vyema .. kitendo tu Cha kulundikana kwenye maghorofa wakati mko vitani nao ni upumbavu wa kiwango Cha juu.. Sasa wanagongwa mbaya.. inavyoonekana Syria huwaogopa Sana Israel kuliko yeyote middle east.
Sent using Jamii Forums mobile app