Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Nashukuru sana kwa michango hii wandugu.
Sababu zilizotolewa zinaleta mantiki na baadhi nimewahi kuzisikia.
Ambacho sijawahi kukisikia, na ambacho nimetaja kuwa nakiomba, kama kipo, ni hoja ya vita kupitia hotuba ya "Sababu Tunazo, Uwezo Tunao" iliyotolewa Agosti 18, 1978, na Hayati J. Kambarage Nyerere.
Unaposema "sababu ni kuvamiwa, kwani hujui" hainisaidii. Si kila unapovamiwa unaamkia vitani. Yapaswa, katika diplomasia za vita, uonyeshe, kama ambavyo nasikia Rais alifanya, kuwa njia nyingine zimeshindikana.
Hiyo hoja ya Rais ndio ninayoitafiti. Kuna mtu anayo?
Mimi sijakuelewa unataka nini, diplomasia gani alifuata??
hoja ya vita na ambayo watu wamekremishwa ni Idd Amin kuvamia kagera! ndicho alichosema Nyerere!!! haya unayoelezwa ni sababu mficho--hidend reasons which many either they dont know or they are purposely hiding the truth.